Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,482
Aisee kinachoendelea Odinga hatoboi
Sio kwamba Ruto hatoboi?
Aisee kinachoendelea Odinga hatoboi
Asante kwa kazi yako endelea kutupa matokeo 👊👊
Hizo za jumla Nye mnazipata wapi mbona mi naona za majimbo ambayo Ruto anaongozaSio kwamba Ruto hatoboi?
Tulia wewee mkaldayoSio kwamba Ruto hatoboi?
Tulia wewee mkaldayo
Ruto na Odinga wanavyochuana kule mwisho pia mvuta bangi na mwenzako wanachuanaWavuta bangi nao wafikiriwe maana wapo
Hizo za jumla Nye mnazipata wapi mbona mi naona za majimbo ambayo Ruto anaongoza
Mkuu usipotezwe na data za wahuni humu. RAO anaongozaAisee kinachoendelea Odinga hatoboi
Fuatilia live achana na vipande vipande kule mtifuano ni mkali sanaa kati ya Ruto na Raila , Kenya ElectionsHizo za jumla Nye mnazipata wapi mbona mi naona za majimbo ambayo Ruto anaongoza
Baba anabeba nchi sijui kama atadumu madarakan bila Israil kufanya jambo.Tulia wewee mkaldayo
Wacha fujo ww kijana mdogo. Baba anabeba nchiTulia wewee mkaldayo
Ruto kachukua nchiWacha fujo ww kijana mdogo. Baba anabeba nchi
Kakamega:
Ruto 3422
Raila 16
Kericho:
Ruto 1255
Raila 143
Kiambu nyeri:
Ruto 1028
Raila 344
Kisii:
Ruto 870
Raila 85
Kirinyaga
Ruto 4352
Raila 1232
Usilete matokeo kama umeagizwa na magufu vile ,tuliza kimuhemuheKakamega:
Ruto 3422
Raila 16
Kericho:
Ruto 1255
Raila 143
Kiambu nyeri:
Ruto 1028
Raila 344
Kisii:
Ruto 870
Raila 85
Kirinyaga
Ruto 4352
Raila 1232
Tanzania tunafanyaga uchafuzi tu...Kama 2020 ndio kabisa tulipoteza muda tu, Bora hata tungejikalia nyumbani tuUngekua uchaguzi wa tanzania ungesikia sahivi mawakala wamepigwa stop kuingia ndani. Mara kuna mtu kaingia na ndoo iliyopigwa kura.
Polisi wavamia na kubeba sanduku la kura
Mchuano mgumuAjaribu awamu nyingine sasaView attachment 2319507