YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.
:what::what:
 
Sasa pale tufani ilikuwa wapi, acheni kujidanganya angalieni ukweli..........kwa jinsi munavyoshupaza shingo utadhani ccm ndio chama cha upinzani, mlitakiwa msiwe na hofu na ili CCM ijipime vizuri msingekodi yale malori pale kusomba watu wala kuleta wasanii.......hapo mngejua mnakubalika kiasi gani.......au hukuona mtiti wa UKAWA siku jamaa anaenda kuchukua fomu na ilikuwa siku ya kazi......sasa subiri kwenye kampeni maana itakuwa jumapili, halafu tukutane hapa.

Hapa kazi tu, majungu peleka ukawa
 
Mbowe kala mshiko, yuko pembeni kwa raha zake, nyie wapumbavu malofa - courtesy Mkapa, ndiyo mhangaike kwenda kula vumbi.
 
sisi ukawa kama wale nyumbu wa serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya ccm. Hatukudhani kama ccm bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha watanzania sasa wameichoka ccm. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa watanzania. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya kingunge? Kwani tulipanga kingunge ahame ccm mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa ccm ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa ukawa ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... Lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi ukawa bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda oktoba umeyeyuka kama icecream za azam.
hakuna aliyeumia ukawa.sana sana imetungezea mtaji mwingine wa kisiasa??kuna lolote la maana ulilolisikia pale????au watu tuna ubongo wa kuku???kipi pale cha maana kilichozungumzwa kwa kusema wewe uanze kushabikia????
 
Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.

mkuu unajitekenya na kucheka mwenyewe.UKAWA wako kimya huku wanajipanga kuzindua kampeni zao kwa hiyo hawana muda mchafu wa kuchangia mada za kijuha kama hizi.shida unaona pale ambapo hujajibiwa unaamua kujireply thread yako mwenyewe.........na kujichekesha chekesha
 
Tanzania kuna vijiji elfu kumi na tisa na mia mbili kwa mujibu wa sensa ya Mwaka 2012 iliyohusisha makazi na watu ambayo pia ilionyesha Watanzania ni milioni 44.9.Kwa mujibu wa magufuli iwapo atapewa ridhaa na watz serikali yake itatoa M 50, kila kijiji

So hesabu rahisi =TZS 50,000,000 x Vijiji 19,200=960,000,000,000 Yaani bilioni 960! je wanazo hizi? ili hali bajeti ya last financial year ilirun into deficit!

Magufuli mpenda takwimu jaribu kuzidigest kwanza hizo ahadi utajaumbuka bureeeee
 
Sisi UKAWA kama wale nyumbu wa Serengeti, tumeumia sana na campaign ya jana ya CCM. Hatukudhani kama CCM bado inamashabiki wengi kiasi hicho. Tulikuwa tunawatisha watu na mafuriko yetu na kuwaaminisha WATANZANIA sasa wameichoka CCM. Sasa yaliyotokea jana yanadhidi kutupa kazi kubwa ya kufanya. Kwa yaliyotokea jana, tunawadanganya vipi tena hawa WATANZANIA. Je tuitupe karata yetu ya mwisho ya KINGUNGE? Kwani tulipanga KINGUNGE ahame CCM mwishoni ilikuchangamsha mambo? Vipi sasa tuitupe hiii karata mapema?

Pamoja na hayo mgombea wa CCM ana nguvu na ari ya kuibadilisha nchi. Anaongea sera tu. Maneno yake yanaingia mpaka kwenye cell za damu. Sasa nikianglia mgombea wetu hata kutaja jina la mke wake ni kazi kubwa. Anaishia kusema tu 'narudia' maneno yale yale. Sasa najiuliza huyu mgombea wetu wa UKAWA ataweza kweli kuhutubia na kujenga hoja kwa angalau dakika 15? Sijui... lakini nimehakikishiwa kuwa yule dakatari wake wa Ujerumani amekuja na sindano nyingi tu za kumchoma ili awe fit. Kwa hiyo ni matumaini yangu atahutubia kwa mda kidogo.

Sisi UKAWA bado tunakajiimani hii miezi miwili tutaandikwa sana kwenye magazeti. Iliyobaki heri tuoshe nyota kwa kuuza sura. Ila uhakika wa kushinda Oktoba umeyeyuka kama icecream Za AZAM.
kuigiza kuwa wewe ni kawa haisaidii kubadili walichokwisha amua watu maana kinachotakiwa ni mabadiliko waliohudhuria jana ni sehemu ndogo sana ya wapiga kura wote
 
99% ya mambo ambayo magufuli ameyaongelea jana yaliahidiwa na JK 2005 na 2010 lakini hayakutekelezwa.
Baadhi ya ahadi zilizotolewa na JK ni kuhusu kuongeza ajira kwa vijana, kuongeza viwanda, kuongeza ubora wa elimu na kutengeneza mazingira mazuri kwa waalimu, kuongeza mishahara kwa wafanyakazi wote, kutatua migogoro ya wakulima na wafugaji, kuondoa foleni kwenye miji mikubwa hususani dar es salaam na ahadi nyingine lukuki.
Jana ni kama vile Magufuli alikua anamtukana JK kwa sababu mambo almost yote aliyosema atayafanya JK alitakiwa awe ameshayafanya.
Watanzania tuna akili na tumechoshwa na ahadi hewa kila mwaka. Uchumi umeshuka kutokana na CCM kuwa madarakani na sera zinazotolewa na Magufuli ndo hizo hizo za miaka iliyopita zilizotufanya tufike hapa tulipo. Nadhani muda umefika watanzania tubadilishe uongozi tuondokane na ahadi hewa za ccm ili wananchi walio wengi wapate maendeleo.
Waliokua viongozi wakubwa waandamizi kwenye serikali ya ccm wametoka ccm si kwamba hawaipendi bali wamechoshwa na mfumo uliopo na wanatafuta mabadiliko sehemu nyingine kwa sababu mfumo uliopo ccm ni mbovu.
Nilitegemea jana JK amjibu lowasa kuhusu ishu ya richmond lakini mkutano ulitawaliwa na matusi tu na hii inaonyesha ccm imechoka na hawana jipya.
Tuwape UKAWA nchi na nina imani wataziba madudu yote yaliyofanywa na serikali ya ccm.
 
MAMBO 20 NILIYOJIFUNZA KWENYE MKUTANO WA CCM JANGWANI.


1. Yamoto Band wameshangiliwa zaidi kuliko Magufuli,


2. Wakati Mbowe amewakutanisha Lowasa na Sumaye. Leo Jakaya amewakutanisha Diamond na Ali Kiba Jangwani,


3. CCM wanajua kuwa mikutano ya UKAWA inapata mafuriko, kwa hiyo nao walijitahidi wapate "mafuriko"


4. Watu wengi wameenda kuwashangaa wasanii, sio kumsikiliza Magufuli. Kumuona Diamond bei ghali, leo wamemuona Live bila kiingilio wataacha kwenda?


5. Magufuli anajua lugha nyingi za makabila kuliko anavyojua matatizo ya wananchi,


6. Mkapa anahitaji maombi ya kufunga maana anazeeka vibaya. Amemuita Mpumbavu, Waziri Mkuu aliyemteua mwenyewe na kufanya nae kazi miaka 10,


7. Mwisho wa mikutano ya siasa ni saa 12 kamili lakini CCM wamezidisha dakika hadi 12:40. Ikiwa wameshindwa kutekeleza Sheria waliyoiweka mwenyewe, watawezaje kutekeleza ahadi zao? CCM hawapaswi kuaminiwa,


8. Kitendo cha Magufuli kukiri serikali inanyanyasa Machinga na mama Ntilie ni kukiri kuwa serikali yake imechoka na inahitaji kubadilishwa,


9. Magufuli amemvua nguo Kikwete hadharani. Kusema anashangaa meno ya tembo yamefikaje uarabuni ni kusema kuwa JK anashiriki biashara hiyo. Ikiwa Magufuli amesema atazuia biashara hiyo haramu, nini kimemshinda JK kuzuia kwa sasa?


10. Magufuli anajua kuwa CCM inakaribia kufa. Wakati akimalizia hotuba yake ametoa mfano ambao haukueleweka vizuri, lakini fundisho lake ni kuwa WATANZANIA MSIIUE CCM. Kumbe anajua kuwa CCM itakufa,


11. Ccm wamewadharau sn watanzania kwa kuwapandisha malori ya kubebea vitunguu, nyanya na viazi. Mtanzania aliyepandishwa lori leo akiipigia kura CCM atadhihirisha kuwa yeye ni kiazi,


12. Mzee Warioba ameshindwa kabisa kumnadi Magufuli kwa hoja. Kwa namna alivyojieleza anaweza kuzidiwa na kijana aliyemaliza form four akapata division zero,


13. Mzee Mkapa ana matusi "makali" kuliko wafanyakazi wa bar,


14. Bila msaada wa malori na kujazia bodaboda mafuta, uwanja wa Jangwani leo ungekua mtupu,


15. Warioba anaipenda CCM zaidi ya anavyoipenda Tanzania,


16. Rais Kikwete amekiri kuwa Magufuli alikua chaguo lake, it means hakuwa chaguo la wanaCCM. Kwa lugha rahisi Kikwete amedhihirisha kuwa alienda Dodoma akiwa na majina yake mfukoni kama ilivyodaiwa,


17. Kwa kuwa Polepole alikiri Warioba ni "Role Model" wake, leo tumemjua anayemtuma Polepole kutukana UKAWA,


18. Jeshi la Polisi linatumika kisiasa. Wameshindwa kuzuia maandamano "haramu" ya CCM na kuzuia mkutano ilipofika saa 12 kamili km sheria inavyotaka,


19. Miongoni mwa watu wanaopaswa kuchunguzwa UKAWA ikishika dola ni pamoja na Jaji Joseph Warioba na Mzee Mkapa,


20. CCM haifai kuendelea kuwa madarakani baada ya October 25.

Kwa hisani ya
Malisa Godlisten



 
Hakukuwa na jipya pale Jangwani zaidi ya kwenda kumshuhudia namna mama yetu CCM anavyowaaga watanzania. CCM ilishaziona dalili zote za kukata roho. Tangu lini CCM ikakimbiwa na mawaziri wakuu wawili na mwenyekiti wa wenyeviti wa CCM kwa mara moja? Tangu lini CCM ikakimbiwa na watu wengi kwa mara moja kama mwaka huu? Tangu lini waziri mkuu, makamu wa rais na spika wakaambiwa hawana maadili, makapi na oil chafu? Tangu lini umati mkubwa wa watanzania ukaitwa wapumbavu na malofa na rais mstaafu kwa mara moja? Tangu lini watanzania wengi wakajiandikisha kupiga kura kama mwaka huu? Tangu lini rushwa wakati wa kura za maoni ndani ya CCM zikasikika kila kona ya Tanzania mwaka huu? Tangu lini CCM ikatumia fedha nyingi kusomba watu wengi kwenda kwenye mkutano kama mwaka huu? Hizi sio dalili njema kwa CCM, Tulisombwa tukusanyike pale kwa mara ya mwisho kukiona chama chetu kikiwaaga wananchi wake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom