Yani wananchi wametaabika na uelewa mkubwa wao wanakuja na porojo. Jamani huyu domo anajifanya kumpiga dongo lowasaHivi kwa ukata tulionao Watanzania ni muda wa kuletewa zile porojo kweli?
Yaani hadi sasa hakuna cha maana kilichoongelewa! Eti huyo mlevi makongoro anatuonesha kifimbo...what a f***k is kifimbo?
Wapuuzi tu subiri waone wanaume UKAWA watakachofanya.
Hahahah huyu Makongoro mpaka wamtoe! Kofia hoyeee, miwani hoyeee, kifimbo hoyeee
Viroba bana
hahahhahaaa naona unaikubali slogan yetu imekukamata haswa.Torokaaaa ujeeeee
chama changu ccm nakihurumia sana,mwenyekiti kauwa chamanimeshangazwa sana baada ya ccm baada ya kujadili hoja zao wanakuja kuwajadili akina lowasa na sumaye hawa jamaa ni kweli wamevurugwa sana kuanzia leo sina imani na ccm hawana akili ni kweli chama kimechoka sana kinahitaji kupumzika viva ukawa
Yani tuna share common interests. Hahaaaaa popoma kiboko aiseeTokea lini mimi na wewe mpenzi wangu Diva Beyonce tukapishana?
Ukiwazacho ndicho ninachokiwaza.
Ndio maana nakupenda sana.
Ni popoma huyo shoga angu...