Magari ya mizigo yamepata tender
View attachment 279307
UKAWA haiwatakii maccm mazuri. Hii ni ya kutengeneza kwa Kompyuta!?
Magari ya mizigo yamepata tender
View attachment 279307
Hahahaaa wako kwenye marketing hao haahaaa wanatumia fursa vizuri ila Kura UKAWAKuna dada mwanamuziki kapanda jukwani anajifunuafunua tu.
Kweli safari hii sijui Makomeo ataonga barabara maana nyumba kazimaliza.
Ccm tupeni utekelezaji wa ilani na mipango ya ilani ijayo watz tuwapime na sio mipasho
Unapewa buku tano unapanda kwenye lori au fuso vijana wengi sana wamechukuwa buku tano na bendera ila wanasema kula ccm kulala ukawa kura ukawa
Mkuu nilikuwepo unapewa buku tano unapanda ila wengi ya waliyopo jangwani leo kura zao ni kwa ukawa!!UKAWA haiwatakii maccm mazuri. Hii ni ya kutengeneza kwa Kompyuta!?
Kuna dada mwanamuziki kapanda jukwani anajifunuafunua tu.
Kweli safari hii sijui Makomeo ataonga barabara maana nyumba kazimaliza.
Si tuliambiwa kuwa maandamano kwenye mikutano ya SIASA nchi nzima ni marufuku,sasa hicho hapo juu hao vijana wa bodaboda ni nini..? Ishakuwa nchi ya KUSADIKIKA hii..
khaa!! Ni matapeli tu angesemaa hivyoMsanii Dokii leo wakati anamalizia show yake ya kufana uwanjani jangwani wakati ccm inafungua kampeni zake alimalizia kwa kusema
WAKAWA WA KAWAIDA SANA.
Tutakua Pamoja Mkuu Ndani Uzi Wa Njano Na Kijani Chini Nyeusi...Hatuvaag Magwanda Sisi Sio Mgambo....Japo #hapa_ni_kazi_tu #hatutawaangusha #umoja_ni_ushindi Tupa Kule Safar Yao Ya Matumaini Kama Wagongwa Wa Ukimwi Na Mtazungushwa Sana #zungushazungusha Na Bado Mtakimbizwa Sana Japo Chama Chenu Full Mchakamchaka,na Ameanza Kwa Kuwaweka Wabunge Wake aliokatwa nao Ccm!!!