Nicas Mtei
JF-Expert Member
- Dec 21, 2010
- 11,556
- 7,085
Hahahahahahaha. Eti elfu 4000? Nani kawaloga CCM?
Staili ya urudishaji kadi, ilivyoanza ni ghafla bila maelezo
harafu magufuli anasema wanaotaka kurudisha kadi za ccm, cdm, nccr walete hapa. Hii kazi kwelikweli
Too low........Sasa si ndo zake? acha unafiki wa kisisiem, yaani huyo mnyama wa gombe ndo jembe lenu,kweli hii ndo bongo,from gombe to parliament!
Zomba,
..Conclusion yako ina mushkeli kidogo.
..Wassira hakumaanisha "kufuru" ktk masuala ya dini/imani alikuwa akizungumzia masuala ya siasa.
Kuna mijitu ni Vitumbua kweli ingekuwa tunapeana test huku ingekuwa kila siku inaongoza kwa zero