Twilumba
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 11,551
- 12,416
Mwakyembe ameanza sifa sasa...
Amesahau kilichompeleka india!
Mwakyembe ameanza sifa sasa...
nakubaliana na wewe mkuu, hamna mtu wakurudisha kadi esp. cdmMagamba achen propaganda, Mmechapisha kadi za Chadema mkiwadangaya wananchi kuwa wamerudisha kadi. Kweli Magamba ni wasanii tosha! Mmeishiwa sera.
Wamesombwa na wamelipwa pia, we vipi?
Mwakyembe namkubali sana, ila anakoenda ataharibu! Mbaya zaidi CCM wanataka kumtumia kwakuwa wanajua anakubalika.hii ni namba ya simu ya mkononi ya waziri mwakyembe.ukiona tatizo la barabarani hasa kupandishwa nauli kiholela wewe mpigie tu.
Kwa kauli kuwa CCM wanaukimbia uwanja wa Jangwani kwa kuwa hawajazi watu na wanawanachama wachache ambao hawawezi kuja kujaza jangwani.,mbowe hukuwa sahihi.,sitakulazimisha kukubali kwa maneno yangu, bali angalia kwa macho yako na kisha kubali kwa nafsi yako kuwa CHADEMA kuwa level ya CCM ni baadae saaaaaana.View attachment 55896
Angalieni quality ya hizo card tulitumia manila za kawaida kuzitengeneza lakini tuliwaambia kama wanataka kadi zenye quality kama ya Chadema gharama yake kwa zote ingekuwa milioni kumi kwahiyo wakatuambia tutengeneze kadi za quality ya chini za shs milioni 4 lakini tuwape risiti ya milioni 10
watu ni wengi wengi mno
karibu jangwa litafunikwa kwa wingi watu nikifanya tathmini ni mara 3 ya
mkutano waliofanya chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kweli CCM
bado inapendwa na inawanachama na wapenzi lukuki, na kama ni hivi safari
ya kuitoa CCM madarakani bado ni ndefu mno, labda kwa sababu chama hiki
hakina udini wala ukabila tofauti na vyama vingine ndio maana watu bado
wana imani na CCM?
Haya ungeyasema kabla ya mkutano huu.
wenyewe mmeona ....hamaa wamerudisha kadi bila kuonyeshwa wakipewa kadi za ccm!!!!..
nadhani umemiz vitu viwili, na hii inatokana na ile chuki ya udini uliyonayo... hakuna kashfa kushiriana na nyerere, kwani waislamu walishirikiana nae pia, na mbowe can never be held responsible kwa mambo waliyofanya wazee wake
unanikumbusha story ya mtu mmoja anayeitwa dibibi, siku zote alidhani yuko daraja fulani, sasa tukiweka historia ya mababu zake, nanweza akaanza kujiuliza kumbe u-puppet uko kwenye asili na babu alifanywa nini na wenzake kwa hilo??
napita tu
Kiboko ya Chadema Wassira kaishapanda jukwaani?
Mkuu angalia thread za jana jioni nilisema sana tupo kariakoo