zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Updates wakuuu
Juma Gadaffi, Kaibu mwenezi CCM-Dar amewaita waandishi kuwashukuru kwa kurursha matangazo wakati wapo Dodoma, pia wameiomba NEC iendelee kuandikisha wapiga kura! ndo hayo tu!mwenye taarifa ya yanayoendelea kwenye kikao cha ccm tafadhali atujuze
Juma Gadaffi, katibu wa siasa na uenezi-Dar ndiyo msemaji leo!
AZAM Media Flash Page
Updates wakuuu
Juma Gadaffi, Kaibu mwenezi CCM-Dar amewaita waandishi kuwashukuru kwa kurursha matangazo wakati wapo Dodoma, pia wameiomba NEC iendelee kuandikisha wapiga kura! ndo hayo tu!
bibi upo?Si unaona jinsi ulivyo juha?
Majibu tunayo sasa hivi, wewe subiri oktoba.
Mbowe kapiga pesa, nyinyi misukule mnawekewa gonjwa lile na nyinyi mpo tu.
Mnasikitisha sana kwa kushindwa kufikiri hata mambo madogo.
Si unaona jinsi ulivyo juha?
Majibu tunayo sasa hivi, wewe subiri oktoba.
Mbowe kapiga pesa, nyinyi misukule mnawekewa gonjwa lile na nyinyi mpo tu.
Mnasikitisha sana kwa kushindwa kufikiri hata mambo madogo.
mwenye taarifa ya yanayoendelea kwenye kikao cha ccm tafadhali atujuze
wanatafuta jinsi ya kurudi kwenye media. wamepotea muda mrefu!Mkuu, imeisha na sasa jamaa wanambana kuhusu Lowassa ila jamaa anajing'atang'ata tu
Hii press ilikuwa kuwahamasisha watu wajitokeze kujiandikisha!!
Niliyezeeka akili mimi au nyinyi, mwenyekiti wenu kapiga pesa, anamwacha mgonjwa mwenye matatizo ya wazi kabisa agombee, hamfikiri?