Mtu wa Pwani
JF-Expert Member
- Dec 26, 2006
- 4,184
- 671
naam tujifunze kukubali matokeo ya mahakama; kwa hio ikiamuriwa lema arudi rumande tukubali haki imetendeka kama vile ikiamuriwa hana makosa atembee mbele
Anahudumia wananchi hadi wa magerezani.Mbunge Lema apunguze vurugu, ili apate muda wa kuwahudumia wananchi
Wafuasi wa Chadema wanaongoza kwa kujitafutia umaarufu kupitia mahakamani; tafadhali wananchi tumewachoka wabunge na viongozi wenu kwa matendo haya:
1. Kushindwa Kutii Sheria
2. Kutotoa ushirikiano kwa serikali iliyowekwa madarakani kupitia sanduku la kura
3. Kutumia ruzuku ambayo ni kodi ya wananchi kuratibu maandamano
4. Kususia vikao vya bunge na mabaraza ya madiwani hivyo kutowakilisha vyema wananchi
Chadema mnatumia vibaya fedha za ruzuku, badala ya kuimarisha chama zinatumika kugharimia kesi; mawakili wa CHADEMA kila siku mahakamani kuwatetea wanachama wao walio na ufahari kufunguliwa kesi kila kukicha
Wafuasi wa Chadema wanaongoza kwa kujitafutia umaarufu kupitia mahakamani; tafadhali wananchi tumewachoka wabunge na viongozi wenu kwa matendo haya:
1. Kushindwa Kutii Sheria
sijaweza kuingia ndani lakini watu ni wengi sana naona madiwani ndiyo wanaingia hapa mahakamani..
sijaweza kuingia ndani lakini watu ni wengi sana naona madiwani ndiyo wanaingia hapa mahakamani..
Kama mandela vile! ulikuwa unamchukia eee. Kaburu nini?Wafuasi wa Chadema wanaongoza kwa kujitafutia umaarufu kupitia mahakamani; tafadhali wananchi tumewachoka wabunge na viongozi wenu kwa matendo haya:
1. Kushindwa Kutii Sheria
2. Kutotoa ushirikiano kwa serikali iliyowekwa madarakani kupitia sanduku la kura
3. Kutumia ruzuku ambayo ni kodi ya wananchi kuratibu maandamano
4. Kususia vikao vya bunge na mabaraza ya madiwani hivyo kutowakilisha vyema wananchi
kama kawaida ni mapambano ya haki dhidi ya udhalimu!sijaweza kuingia ndani lakini watu ni wengi sana naona madiwani ndiyo wanaingia hapa mahakamani..
sijaweza kuingia ndani lakini watu ni wengi sana naona madiwani ndiyo wanaingia hapa mahakamani..
Wafuasi wa Chadema wanaongoza kwa kujitafutia umaarufu kupitia mahakamani; tafadhali wananchi tumewachoka wabunge na viongozi wenu kwa matendo haya:
1. Kushindwa Kutii Sheria
2. Kutotoa ushirikiano kwa serikali iliyowekwa madarakani kupitia sanduku la kura
3. Kutumia ruzuku ambayo ni kodi ya wananchi kuratibu maandamano
4. Kususia vikao vya bunge na mabaraza ya madiwani hivyo kutowakilisha vyema wananchi