gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Done go andvcheckKama unazo nitumie mimi.
Done go andvcheckKama unazo nitumie mimi.
Mp fc mkKama kuna Mwanaume ajaribu kuandamana
Zile kelele zoooote achieni mikutano muone, baada ya kuachiwa ndio mnaishia hapa? Hako kanyomi ni ka kuwasharau
Azitoe wapi, anazungumzia alivyopigwa risasi tu,Hakuja Sera?
I see......
really 🙄
Ndio mama nikweli nikumugawa mama yako aliekutotoa Toto jinga Kama wewe.Labda kumgawa mama ako, siyo taifa.
Hizo zilizowekwa ni nini Mkuu?Hakuna picha za matukio?
Hizi ndizo post ambazo, Mkuu wangu mmoja wapo hapa JF, huwa anazijibu kwa neno la mshangao la 'Duh!'Ni ya watanzania wapi kwa mfano
Wamefanya kosa la kiufundi Chadema. Wajiandae kuadhibiwa na wananchi kwenye sanduku la kura.nipo uwanjani Wananchi wamepitisha hoja WAFUKUZWE
Kama wakoloni wangefanya hivi Afrika isingepata Uhuru. Vyama vya ukombozi vimegeuka wakoloni weusi.Mbona chadema mnalalama sana.TBC imeamua kuwapa msaada kurusha uzinduzi wenu wa kampeni buree,mbona tena mnaleta utemi na masharti meengi!!!.
Wamefanya kosa la kiufundi Chadema. Wajiandae kuadhibiwa na wananchi kwenye sanduku la kura.
Mbona kama unakata tamaa...!Ndio vzr tbccm muendelee na chama chenu.