Wenzenu wakiwa na mikutano wanafungua miradi ya maendeleo ila mbowe anapandisha bendera eti ndio kuzindua kanda ya kati hakuna hata mradi mmoja wa maendeleo hii ni aibu.
Kuwa na akili wewe mbwi---ga...sasa afungue miradi ya maendeleo yeye anakusanya kodi?
Au unataka atoe hela yake ya mfukoni kufungua miradi ya maendelea? Acha kutumia masaburi kufikiria