Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 10,129
- 35,153
Jamhuri baada ya kutathmini mwenendo wa mashahidi waliokuwa wanawaleta imeonekana:
1. Karibu madhahidi wote waliofuata baada ya Kingai kutoa ushahidi wake wamekuwa wanaharibu msingi wa ushahidi wa Kingai, hivyo wanaharibu kesi pasipo kudhamiria.
2. Kuna tetesi zilizagaa kuwa kuna mashahidi wasiopungua nane (wawili tayari walishatoa ushahidi wao) wamegeuka na kuwa kinyume na lengo la Jamhuri (Hostile witness)
3. Tathmini ya ushahidi na mashahidi waliofika mpaka sasa mahakama wamejikuta wakitoa siri za ndani za utendaji wa vyombo vya usalama ikiwemo JWTZ, TISS, Polisi, Magereza ma ofisi ya mwendesha mashtaka (kwa nchi hichi sio kitu kizuri sana, hakina afya).
4. Upo uwezekano mkubwa kwa muda unaotakiwa wa kuendesha kesi hii ukaisha kabla ya ushahidi wa jamhuri kukamilika kutolewa. (Hili ni suala la kitaalamu kidogo)
5. Lipo shinikizo kubwa sana kutoka mahali mahali linalotaka kesi hii ifutwe, sasa kuendelea kutoa ushahidi huku hilo shinikizo likiendelea kuwepo kunaipa jamhuri na ofisi ya mwendesha mashtaka wakati mgumu (progress dilemma), hivyo kufunga ushahidi mapema kunaweza kuharakisha hukumu kutolewa ili kuondokana na hilo shinikizo.
1. Karibu madhahidi wote waliofuata baada ya Kingai kutoa ushahidi wake wamekuwa wanaharibu msingi wa ushahidi wa Kingai, hivyo wanaharibu kesi pasipo kudhamiria.
2. Kuna tetesi zilizagaa kuwa kuna mashahidi wasiopungua nane (wawili tayari walishatoa ushahidi wao) wamegeuka na kuwa kinyume na lengo la Jamhuri (Hostile witness)
3. Tathmini ya ushahidi na mashahidi waliofika mpaka sasa mahakama wamejikuta wakitoa siri za ndani za utendaji wa vyombo vya usalama ikiwemo JWTZ, TISS, Polisi, Magereza ma ofisi ya mwendesha mashtaka (kwa nchi hichi sio kitu kizuri sana, hakina afya).
4. Upo uwezekano mkubwa kwa muda unaotakiwa wa kuendesha kesi hii ukaisha kabla ya ushahidi wa jamhuri kukamilika kutolewa. (Hili ni suala la kitaalamu kidogo)
5. Lipo shinikizo kubwa sana kutoka mahali mahali linalotaka kesi hii ifutwe, sasa kuendelea kutoa ushahidi huku hilo shinikizo likiendelea kuwepo kunaipa jamhuri na ofisi ya mwendesha mashtaka wakati mgumu (progress dilemma), hivyo kufunga ushahidi mapema kunaweza kuharakisha hukumu kutolewa ili kuondokana na hilo shinikizo.