Killerman
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 326
- 183
kaka matusi ya nini,sasa? Si ujibu tuu kwa hoja?we punguziro kama umezoea kuua unajua wote wanafanya hivyo eeeh,kaa pembeni kima we!
kaka matusi ya nini,sasa? Si ujibu tuu kwa hoja?we punguziro kama umezoea kuua unajua wote wanafanya hivyo eeeh,kaa pembeni kima we!
Ritz, ni yupi hapo?
Vijana wanatakiwa kuhoji kwanini aliyempiga tofali mwenzie hakuchukuliwa hatua?
MM & Co Ltd ni kampuni mama ya Chadema inayomilikiwa baina ya Mbowe na Mtei family yenye makao makuu yake wilaya ya Hai na ofisi ndogo Tengeru na mtaa Ufipa
Ha ha ha! Kwani leo alikuwa shift ya mchana? Hata hivyo nina mashaka kuwepo kwake hapo maana Ritz ni senior anaweza kuwa na kaofisi kwa ndani hapo Lumumba. Hapo changanyikeni watakuwepo wakina Simiyu Yetu na Zemakopolo.
Bwana hii kitu ya Lumumba Project nilidhani ni utani ila nilienda kijanja sana pale kuchunguza nikagundua hii kitu ni ya kweli...kweli ccm haikubaliki jamani kwa watanzania...View attachment 126770
Hapa ni Lumumba wamekusanyika kuandika habari za kuchafua Chadema wameshindwa. Tatizo uwezo wa kujenga hoja hawana zaidi ya utoto tuu. Hiyo ilikuwa shift ya mchana tuwasubiri wa usiku, ingawa wako wenye roho ngumu hapo wanapiga double shift kwa malipo yaleyale. Ni katika kunyenyekea ajira ya kudumu.
mtahangaika sana lakini mwisho wa siku mtajajuta tu mzimu wa zitto uko nanyi kokote mlipo.
Nonsense endelea kufanya propanga ni Kama unajitekenya na kucheka mwenyewe kweli CDM 1000 ni sawa na Zitto 1.