Yaliyojiri Ikulu: Mazungumzo kati ya Viongozi wa dini nchini na Rais Magufuli

1) Shida zinazoikabili Nchi...

A) Visasi

B) Chuki

C) Ubaguzi

D) Uonevu

E) Haki za Binadamu

2) Mkifanya Mkutano wenu uwe jukwaa la kampeni, kusifiana Mkasahau shida za waumini wenu Ole wenu TUTAPOTEZA IMANI NA NYIE WOTE MDA NI HAKIMU MZURI SANA KILA LA HERI

Mwanahabari Huru

Kwa niamba ya Watanzania wote
Umeinyaka wapi hii!
Labda angelikuwepo Askofu Bagonza, hawa wengine ni bure. (ngoja niweke maneno , maana kuna description yao sitaiweka hapa sasa hivi).
Wahuni, matapeli kama Kakobe, Gwajima wameshakamatwa!
1548223499267.png
 

Attachments

  • BAGONZA.jpg
    BAGONZA.jpg
    70.7 KB · Views: 49
Aliyaweza Mtume Paulo tu au Petro,Yakobo, Unamkumbuka Stefano aliyepigwa Mawe hadi akafa hakutaka udhalimu kabisa, Viongozi wa sasa na hao wooote walioalikwa Ikulu bado wanapenda sadaka, wataenda KUSIFIA mpaka mwisho wa mkutano itakua ni Hongera Mh Rais... Hongera Mh Rais hongeraaaaaaaa
 
Pengo hua ni wa wapi?


Sent from my iPhone using JamiiForums

Pengo alishachoka Sio wa kumuhesabia, Aende asiende , mahaba yake tunayajua japo inasemekana Wenzie walimjia juu ndio siku hizi humuoni oni na jiwe.
 
1) Shida zinazoikabili Nchi...

A) Visasi

B) Chuki

C) Ubaguzi

D) Uonevu

E) Haki za Binadamu

2) Mkifanya Mkutano wenu uwe jukwaa la kampeni, kusifiana Mkasahau shida za waumini wenu Ole wenu TUTAPOTEZA IMANI NA NYIE WOTE MDA NI HAKIMU MZURI SANA KILA LA HERI

Mwanahabari Huru

Kwa niamba ya Watanzania wote
Ubaguzi unautafuta mwenyewe. Haki za ubinadamu kana ni ushoga hapana. Uonevu unategemea na unavyoutaja taja wewe, watu kama Lissu wakionewa sawa tu. Visasi vinatokana na mtu mwenyewe kuwa na mtizamo huo hapa TZ tuko vizuri. Chuki ni Asili ya binadamu hata ninyi CDM mnachuki na JPM kwa mazuri anayofanya.

Zamu yenu wana UKAWA na wengine kuitwa unanukia sasa. Ila mkienda msije mkana Lissu kwa ajenda zake za kishenzi na kipumbavu alizo nazo, mkaeleze kwa nini anafanya hivyo kwa nchi yetu tukufu na pendwa duniani.
 
1) Shida zinazoikabili Nchi...

A) Visasi

B) Chuki

C) Ubaguzi

D) Uonevu

E) Haki za Binadamu

2) Mkifanya Mkutano wenu uwe jukwaa la kampeni, kusifiana Mkasahau shida za waumini wenu Ole wenu TUTAPOTEZA IMANI NA NYIE WOTE MDA NI HAKIMU MZURI SANA KILA LA HERI

Mwanahabari Huru

Kwa niamba ya Watanzania wote
Hangover ya Lissu inasumbua......wengine wanalinda uraia wao....sioni anayeweza kuthubutu kusema ukweli. Ngoja tuone.
 
Basi hapo watajazana maaskofu na wachungaji sijui awamu hii wanakusudia kutubatiza Watanzania wote!
Kuna madhehebu mangapi ya waislam ambayo yatahitaj idadi sawa ya uwakilishi na Wakristo?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Umeinyaka wapi hii!
Labda angelikuwepo Askofu Bagonza, hawa wengine ni bure. (ngoja niweke maneno , maana kuna description yao sitaiweka hapa sasa hivi).
Wahuni, matapeli kama Kakobe, Gwajima wameshakamatwa!
Duh yaani leo hii Gwajima na Kakobe ni wahuni mmmmmmh. Kwahiyo wenye akili ni wale wanaopinga serikali tu?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Duh yaani leo hii Gwajima na Kakobe ni wahuni mmmmmmh. Kwahiyo wenye akili ni wale wanaopinga serikali tu?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Toka zamani, wanajifanya wanaweza kufanya miujiza (kuwapa utajiri watu, kuwaombea etc) kumbe ni WAONGO, WAHUNI wanadanganya watu!
Nakuuliza: Uaskofu huo aliwapa nani? You do not confer title on you yourself, TITLE is confered by an AUTHORITY, recognised by International community!
 
Hao viongozi wa dini utakuta ndio Wakina Kakobe, Mwingira, Gwajima, Sheikh yule lakini huwezi kuwaona wakatoliki.
Maaskofu wenye akili huwezi kuwakuta huko wale ambao wanapelekwa kwa nguvu za tumbo na kujikweza ndio utawaona

Sent from my TECNO K7 using Tapatalk
 
1) Shida zinazoikabili Nchi...

A) Visasi

B) Chuki

C) Ubaguzi

D) Uonevu

E) Haki za Binadamu

2) Mkifanya Mkutano wenu uwe jukwaa la kampeni, kusifiana Mkasahau shida za waumini wenu Ole wenu TUTAPOTEZA IMANI NA NYIE WOTE MDA NI HAKIMU MZURI SANA KILA LA HERI

Mwanahabari Huru

Kwa niamba ya Watanzania wote
Wao ni victims wa makusanyo ya sadaka kushuka waeleze watu wanavyokufa kwa bp kutokana kufungwa kwa biashara za waumini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Toka zamani, wanajifanya wanaweza kufanya miujiza (kuwapa utajiri watu, kuwaombea etc) kumbe ni WAONGO, WAHUNI wanadanganya watu!
Nakuuliza: Uaskofu huo aliwapa nani? You do not confer title on you yourself, TITLE is confered by an AUTHORITY, recognised by International community!
Haya maswali uliwahi hoji wakati Gwajima anamponda Makonda?Wakati Kakobe katoa waraka kumponda jpm?Au uhuni ni pale tu wanapoungana na serikali?Nyie ndio mnaotaka democracy yaani uhuru wa kujieleza au kutoa maoni na kuheshimiwa lkn kwanini hamuheshim wale wanaokuwa kinyume nanyi?Hamuoni nyie ni madikteta wabaya sana kuliko mnayemwita dikteta?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
 
Jana JPM alikuwa katika ubora wake

Sekta ya madini,wale jamaa walitema nyongo bila hiyana...wala kigugumizi.

Hawa Mafarisayo na Masadukayo wa leo dizaini ya akina Kakobe,Kadinali,
Sheikh Alhadi ni full kusifia tyuu...na hivi hawalipi kodi;huenda wasiwakumbuke Kondoo wao...

Shekhe Ponda na yule Katibu wa TEC na Askofu mwiba wa KKKT wasikose...hata kwa pingu waende!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha kuna mtu anataka "kutembelea Nyota" ya viongozi wa dini! Maana siku hizi kila shughuli yupo nao kama vile Gwajima, Kakobe, mara wapo Maaskofu etc

Anajua viongozi wa dini wakiwa upande wake , wakimzungumzia kwa uzuri basi na kondoo wao watakuwa sympathetic naye!

Kule kwa ndugu zetu Waislamu yeye ameridhika kujumuika na Sheikh Alhadi, lakini kwa Jinsi yule dada wa Marekani alivyokwishatoa tuhuma kali kwa huyo Sheikh keshachafuka sana, hakuna Muislamu anayemchukulia serious!!

Ngoja nimshauri njia nzuri ya kuleta umoja na mshikamano wa Kitaifa!

1. Mzee angalia TEUZI zako zimeegemea upande mmoja zaidi, watu wanalisema hili mtaani

2. Heshimu katiba ya nchi, hakuna haja ya kuminya haki ambayo makundi mengine yamepewa na katiba, haikufanyi kuonekana strong kwa kujaribu kuimply kwamba uko sahihi kuliko katiba

3. Kazi zako zilenge kupanua uhuru wa watu zaidi kuliko kuuminya. Hii miswada ya vyama vya siasa ambayo inakwenda kuminya vyama na kuvifanya viwe vyama visivyong'ata hailisaidii Taifa. Nyerere alidhani mwaka 1965 kuwa vyama vingi vinamchelewesha kuleta maendeleo lakini Nyerere huyohuyo miaka 25 baadae akagundua kuwa alifanya mistake kubwa, please usichukue njia hiyo ya kale kwa sababu kwanza Kizazi kijacho kitaifuta hiyo sheria unayotaka kuifunga, lakini utakuwa umeshawachelewesha kwenye kujenga Taifa lililokomaa kidemokrasia

4. Mzee, Mshikamano bila uchumi ni sawa na kiwiliwili bila mikono na miguu, hapawezi kuwepo na mshikamano wakati vyuma vimekaza, bila uchumi ndoa zitakufa, watu watashikana uchawi, vibaka wataongezeka, misongo ya mawazo itaongezeka na hatimaye kuzaa chuki baina ya wenye nacho na wasionacho, Mshikamano hautakuwepo!. Badili sera zako za uchumi sasa ili kustimulate biashara, Ikibidi kupunguza kodi punguza, nimeona leo kwenye taarifa ya habari kuwa uchumi wa china umeshuka na njia moja wanayoifanya sasa ni kupunguza kodi na kuinject mabilioni ya dola kwenye miradi inayogusa wananchi moja kwa moja ili kupunguza makali!. Ongea vizuri na wafanyabiashara wakubwa nchini, wafanyie wepesi kwenye mambo yao usiwakwaze, Matajiri ni mawakala wa Mungu kwenye kusambaza Rizki kwa waja wake duniani!, Wana upako wa hela hao, ukiwajaribu kuwashusha utashuka mwenyewe!, Ukijaribu kuwakwaza utajikwaza Mwenyewe, maana maandiko yanasema yule aliyepewa na Mungu hakuna mwanadamu anayeweza kumnyang'anya labda Mungu mwenyewe awe ameamua hivyo!!.

5. Mzee inabidi sasa uanze kuwa Stateman, Unahitajika sasa Kupandisha "Game" yako iwe international zaidi. Uwanja wa hapa nyumbani muachie Kassimu, sina shaka naye, ni kiungo mchezeshaji mzuri sana, nazikubali kazi zake. Sasa inabidi uende Ulaya uongee na akina Angela Merkel, akina Theresa May, Nenda Canada, Nenda hata hapo Australia kaongee na Investors waje, Shuka hata South hapo bondeni uangalie nini wataalamu wa madini hapo wanaweza kushare nasi katika hii sekta

6. Mzee, Maendeleo ya vitu bila Uhuru ni kazi bure!. Leo hii tunamkumbuka Nyerere siyo kwa sababu alijenga reli ya Tazara, na bomba la TAZAMA au Viwanda kedekede tunamkumbuka zaidi kwa sababu alitupa Uhuru kutoka kwa mkoloni!. Na wewe unayonafasi ya kutupa Uhuru mpana zaidi, hizi sheria za Habari na Takwimu hazitusaidii katika azma ya kuwa na watu wenye FIKRA HURU, Zinaweza kukusaidia kisiasa katika mwaka wako mmoja uliobaki au ukibahatika Sita iliyobaki lakini zina athari isiyomithilika kwa Usitawi wa Taifa. Zitakwenda kujenga Taifa la Watu Vipofu, Wasiohoji, Wenye kuamini Propaganda za Serikali inayotawala, Kiufupi zinakwenda kujenga Taifa la watu walio usingizini!. Je ungependa miaka 30 ijayo kuwa na TAIFA la watu bongolala?. Angalia miaka 50 ijayo mzee, usiangalie uchaguzi ujao

7. Mzee Korosho, Korosho, Korosho Mzee, Kangomba na Mkulima wa Korosho ni sawasawa na chungu na Kata, Mkulima anayetafuta hela ili amcheze mwanae Ngoma, Kangomba ndiye Mkombozi wake!. Huwezi kudhani Kangomba anamdhulumu mkulima, wakati Mahitaji ya Mkulima yanatimizwa na Kangomba!. Nyinyi watu wa Mjini mnadhani mahitaji yenu ya mjini ndo yaleyale ya mkulima!. Ni sawasawa na Mzungu atoke huko Ulaya akute mwalimu wa Msingi analipwa dola 300 ( shilingi laki sita) halafu aanze kudai eti Mwajiri anamdhulumu mwalimu!. WE NEED TO KNOW basic economics pribciples za NEEDS za watu na WANTS za watu!
 
Back
Top Bottom