Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,061
- 144,492
Habari ndio hio. Zile kelele kwamba mlikuwa mnacheza kombe la loser sasa hazipo na` zile kelele Yanga kimataifa hawawezi nazo hazipo. Yaani kwa miaka miwiliu wamefilisika kabisa kihoja.
Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.
Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.
Sasa wamejificha kwenye dhuluma waliofanyiwa Yanga huku wao wametiaa aibu kufungwa home and away.
Ni hawa hawa baada ya droo ndio waliona kama wameshafuzu huku wakidai wanawamudu AL A hyl kumbe aibu tupu.