Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza

brazaj

JF-Expert Member
Jul 26, 2016
27,889
35,901
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:

1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.

2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.

3. Israel kuwa tayari kufanya mazungumzo kusaka mapatano na Hizbollah:

IMG_20231215_214416.jpg


4. Houthi kufunga njia ya bahari hadi wa magharibi kughairi:

Screenshot_20231215-195508.jpg


5. Maaskari wa vyeo vizito vizito wa Israel kufia vitani Palestina dhidi ya wana mgambo:

Screenshot_20231213-210527.jpg


6. Kufahamika uwepo wa wafungwa watoto wa kipalestina waliofungwa na mahakama za kijeshi magerezani Israel.

7. Pamoja na madhila yao Gaza na Palestina kwa ujumla hata afya za miili yao yawezekana wako vizuri kuliko hata sisi.

2023-11-29T191643Z_1174150821_RC27N4A6VY3Z_RTRMADP_3_ISRAEL-PALESTINIANS-HOSTAGES-1701288135.jpg


(Linganisha commando wao na wetu).

8. Yawezekana Gaza wanapata umeme na maji vya uhakika vyema kuliko sisi.

9. Haipo namna ya kuwatengenisha HAMAS na wapalestina kwamba HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS:

IMG_20231215_215901.jpg


10. Ufumbuzi pekee wa mgogoro huu ni mazungumzo yenye hatma ya kuwa na mataifa mawili kuishi kwa amani kama majirani.

Vita field, vita siyo kwenye sinema kwa kina Rambo, Schwarzenegger na kina Chuck Norris.
 
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:

1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.

2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.

3. Israel kuwa tayari kufanya mazungumzo kusaka mapatano na Hizbollah:

View attachment 2843590

4. Houthi kufunga njia ya bahari hadi wa magharibi kughairi:

View attachment 2843595

5. Maaskari wa vyeo vizito vizito wa Israel kufia vitani Palestina dhidi ya wana mgambo.

6. Kufahamika uwepo wa wafungwa watoto wa kipalestina waliofungwa na mahakama za kijeshi magerezani Israel.

7. Pamoja na madhila yao Gaza na Palestina kwa ujumla hata afya za miili yao yawezekana wako vizuri kuliko hata sisi.

8. Yawezekana Gaza wanapata umeme na maji vya uhakika vyema kuliko sisi.

9. Haipo namna ya kuwatengenisha HAMAS na wapalestina kwamba HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS:

View attachment 2843589

10. Ufumbuzi pekee wa mgogoro kama huu ni mazungumzo yenye hatma ya kuwa na mataifa mawili kuishi kwa amani kama majirani.

Vita field, vita siyo kwenye sinema kwa kina Rambo, Schwarzenegger na kina Chuck Norris.
Netanyahu huwa anajisifia anajeshi bora na wanasayansi bora na kujisifu mbele ya mataifa mengien ..laki wapi kumbe ni wa kawaida sana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:

1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.

2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.

3. Israel kuwa tayari kufanya mazungumzo kusaka mapatano na Hizbollah:

View attachment 2843590

4. Houthi kufunga njia ya bahari hadi wa magharibi kughairi:

View attachment 2843595

5. Maaskari wa vyeo vizito vizito wa Israel kufia vitani Palestina dhidi ya wana mgambo.

6. Kufahamika uwepo wa wafungwa watoto wa kipalestina waliofungwa na mahakama za kijeshi magerezani Israel.

7. Pamoja na madhila yao Gaza na Palestina kwa ujumla hata afya za miili yao yawezekana wako vizuri kuliko hata sisi.

8. Yawezekana Gaza wanapata umeme na maji vya uhakika vyema kuliko sisi.

9. Haipo namna ya kuwatengenisha HAMAS na wapalestina kwamba HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS:

View attachment 2843589

10. Ufumbuzi pekee wa mgogoro kama huu ni mazungumzo yenye hatma ya kuwa na mataifa mawili kuishi kwa amani kama majirani.

Vita field, vita siyo kwenye sinema kwa kina Rambo, Schwarzenegger na kina Chuck Norris.
Kinachoendelea Gaza kilishasemwa(kutabiriwa) miaka 500 BC kuwa Israel watapigwa na kutawanywa (baada ya kumkaidi Mwenyezi Mungu) na baadaye watarudishwa. Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa, mwaka 1948 walirudi kama ilivyosemwa, na watakaporudi, hakuna wa kuwatoa ( rejea Amos 9:15). Nabii Amos aliishi miaka ya 580 BC , na alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (rejea Amos 1:6), ndicho kinachotokea Sasa. Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo kipondo kitaendelea mpaka wafutike, neno la Mungu ni upanga ukatao kuwili.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Netanyahu huwa anajisifia anajeshi bora na wanasayansi bora na kujisifu mbele ya mataifa mengien ..laki wapi kumbe ni wa kawaida sana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
MBINU inayotumiwa na Hamas ilitumika Vietnam kuchimba Mahandaki chini MITA nyingi, hii imewasaidia kwa muda Hamas kwa kuwa mateka wa Israel wanawatumia kama ngao. MBINU hii Hamas itawasaidia kwa muda tu, Mahandaki yatakapoanza kujazwa maji, Hamas watatoka tu, na mwisho wao uko karibu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kinachoendelea Gaza kilishasemwa(kutabiriwa) miaka 500 BC kuwa Israel watapigwa na kutawanywa (baada ya kumkaidi Mwenyezi Mungu) na baadaye watarudishwa. Waisraeli walipigwa na Warumi mwaka 135 AD na kutawanywa, mwaka 1948 walirudi kama ilivyosemwa, na watakaporudi, hakuna wa kuwatoa ( rejea Amos 9:15). Nabii Amos aliishi miaka ya 580 BC , na alisema Kuta za Gaza zitawaka moto (rejea Amos 1:6), ndicho kinachotokea Sasa. Wapalestina wakae kwa kutulia, vinginevyo kipondo kitaendelea mpaka wafutike, neno la Mungu ni upanga ukatao kuwili.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Nionavyo miye hii vita haina cha kufanya na dini wala utabiri wowote. Hii ni vita vya ukombozi kama mwingine wowote:

IMG_1567.jpg


Yaani kama vya ANC, FRELIMO, MPLA, RPF, POLISARIO, NRM nk.
 
MBINU inayotumiwa na Hamas ilitumika Vietnam kuchimba Mahandaki chini MITA nyingi, hii imewasaidia kwa muda Hamas kwa kuwa mateka wa Israel wanawatumia kama ngao. MBINU hii Hamas itawasaidia kwa muda tu, Mahandaki yatakapoanza kujazwa maji, Hamas watatoka tu, na mwisho wao uko karibu.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app

Vita ni sayansi. HAMAS hana supplies wala replenishment ya silaha. Bado amedinda kama kidume cha mbegu.

"Ama kweli mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe."
 
Hujasema kwamba wapalestina 19000 wameuwawa na wanaendelea kuuwawa kwa upumbavu wa HAMAS. Nyie wangese mnao Sifia hawa watu na kuwapa kiburi huku wakilia na kufa kama wanyama. Huyo allah wao mbona hajitokezi mbwa kweli nyie. Israel mnae
 
Hujasema kwamba wapalestina 19000 wameuwawa na wanaendelea kuuwawa kwa upumbavu wa HAMAS. Nyie wangese mnao Sifia hawa watu na kuwapa kiburi huku wakilia na kufa kama wanyama. Huyo allah wao mbona hajitokezi mbwa kweli nyie. Israel mnae

1. Mkuu sijasema wapalestina waliouwawa kwa sababu kuuwawa wapalestina limekuwa ni jambo la kawaida lililozoeleka lisilokuwa habari popote tokea 1948.

2. Zingatia maudhui ya mada ndugu:

"Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza."

3. Nani hakujua Israel akitaka kujiulia anajifanyia yake Kwa Raha zake Palestina?

4. Nini kuhusu kuuwawa wapalestina hakukijulikana kabla ya Oct 7?

5. Hadi hapo nadhani utakubaliana nami kuwa mngese ni wewe, na kwa hakika u lingese kweli kweli!

6. Au nasema uongo ndugu mjumbe?
 
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:

1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.

2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.

3. Israel kuwa tayari kufanya mazungumzo kusaka mapatano na Hizbollah:

View attachment 2843590

4. Houthi kufunga njia ya bahari hadi wa magharibi kughairi:

View attachment 2843595

5. Maaskari wa vyeo vizito vizito wa Israel kufia vitani Palestina dhidi ya wana mgambo:

View attachment 2843616

6. Kufahamika uwepo wa wafungwa watoto wa kipalestina waliofungwa na mahakama za kijeshi magerezani Israel.

7. Pamoja na madhila yao Gaza na Palestina kwa ujumla hata afya za miili yao yawezekana wako vizuri kuliko hata sisi.

View attachment 2843617

(Linganisha commando wao na wetu).

8. Yawezekana Gaza wanapata umeme na maji vya uhakika vyema kuliko sisi.

9. Haipo namna ya kuwatengenisha HAMAS na wapalestina kwamba HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS:

View attachment 2843589

10. Ufumbuzi pekee wa mgogoro huu ni mazungumzo yenye hatma ya kuwa na mataifa mawili kuishi kwa amani kama majirani.

Vita field, vita siyo kwenye sinema kwa kina Rambo, Schwarzenegger na kina Chuck Norris.

Kuamini haya unayoyaandika, ndiko kutawafanya wapalestina kuzidi kuteketea. Muda si mrefu, vifo vya wapalestina vitafikia si chini ya 20,000. Huku kila mpalestina apataye upenyo, anaikimbia Gaza na kuwaacha waliosalia wakiteketea.
 
1. Mkuu sijasema wapalestina waliouwawa kwa sababu kuuwawa wapalestina limekuwa ni jambo la kawaida lililozoeleka lisilokuwa habari popote tokea 1948.

2. Zingatia maudhui ya mada ndugu:

"Yajuwe yaliyodhaniwa hayawezekani kabla ya Oct 7 Gaza."

3. Nani hakujua Israel akitaka kujiulia anajifanyia yake Kwa Raha zake Palestina?

4. Nini kuhusu kuuwawa wapalestina hakukijulikana kabla ya Oct 7?

5. Hadi hapo nadhani utakubaliana nami kuwa mngese ni wewe, na kwa hakika u lingese kweli kweli!

6. Au nasema uongo ndugu mjumbe?

Mengi uliyoyaandika siyo ya kweli.

1) Hakuna eneo ndani ya Israel lilitekwa na kukaliwa na Hamas.

2) Siyo kweli kuwa imewahi kufikiriwa askari wa Israel hawawezi kuuawa na Hamas. Kwanza kuamini hivyo lazima uwe mjinga hasa. Hata askari wa Marekani waliuawa na wasomalia. Kuuawa hutokana na timing. Mauaji ya kushtukiza hakuna mwenye kinga nayo. Hata wayahudi kuwa wakali sana dhidi ya wapalestina kumetokana na Hamas kuwaua wayahudi kwa kushtukiza, ikiwa ni pamoja na mauaji ya kujilipua. Hakuna vita ambayo iliwahi kupiganwa huko nyuma ambapo Israel iliwaua tu Hamas, halafu yenyewe isipoteze askari hata mmoja.

3) Israel ni kati ya nchi zenye kiwango cha juu sana cha huduma za kijamii, na ndiyo imekuwa ikiihudumia Gaza na Westbank, kwa kuwapa huduma kama za umeme na maji bure. Hivyo siyo ajabu kuona umeme wa Gaza ni wa uhakika kuliko wa Tanzania. Na hata sasa, Israel imesema itaijenga upya Gaza kwa ubora zaidi ya ule wa mwanzo kwaajili ya wapalestina wema.

4) Israel imekwishawahi kufanya mazungumzo na Palestina mara nyingi sana, na ya kina zaidi na yaliyosababisha Wapalestina kupata mamlaka ya ndani ni yale ya 1993, yaliyosimamiwa na US.
 
Nionavyo miye hii vita Haina cha kufanya na dini wala utabiri wowote. Hii ni vita vya ukombozi kama mwingine wowote:

View attachment 2843626

Yaani kama vya ANC, FRELIMO, MPLA, RPF, POLISARIO, NRM nk.

darcity ikikupendeza tafadhali.
Na hiyo ndio reality ya hali ilivyo !
Mengine yote ni mambo ya Superstitions za Imani za watu tofauti tofauti !!
Kila mtu atakuwa anatetea kitabu chake kinasemaje !!
Lakini in reality ni kama maneno ya hayati Mandela yanavyojieleza !
 
Mengi uliyoyaandika siyo ya kweli.

1) Hakuna eneo ndani ya Israel lilitekwa na kukaliwa na Hamas.

2) Siyo kweli kuwa imewahi kufikiriwa askari wa Israel hawawezi kuuawa na Hamas. Kwanza kuamini hivyo lazima uwe mjinga hasa. Hata askari wa Marekani waliuawa na wasomalia. Kuuawa hutokana na timing. Mauaji ya kushtukiza hakuna mwenye kinga nayo. Hata wayahudi kuwa wakali sana dhidi ya wapalestina kumetokana na Hamas kuwaua wayahudi kwa kushtukiza, ikiwa ni pamoja na mauaji ya kujilipua. Hakuna vita ambayo iliwahi kupiganwa huko nyuma ambapo Israel iliwaua tu Hamas, halafu yenyewe isipoteze askari hata mmoja.

3) Israel ni kati ya nchi zenye kiwango cha juu sana cha huduma za kijamii, na ndiyo imekuwa ikiihudumia Gaza na Westbank, kwa kuwapa huduma kama za umeme na maji bure. Hivyo siyo ajabu kuona umeme wa Gaza ni wa uhakika kuliko wa Tanzania. Na hata sasa, Israel imesema itaijenga upya Gaza kwa ubora zaidi ya ule wa mwanzo kwaajili ya wapalestina wema.

4) Israel imekwishawahi kufanya mazungumzo na Palestina mara nyingi sana, na ya kina zaidi na yaliyosababisha Wapalestina kupata mamlaka ya ndani ni yale ya 1993, yaliyosimamiwa na US.
Maislamu ya humu hayana akili.Yakitoka kupewa story za kijiweni na propesa mazinge yanakuja humu kuandika yakidhani killa mtu ana upeo wa elimu ya madrasa kama wao.Yazoee
 
Mengi hapa yalidhaniwa taboo:

1. Wapalestina kuteka na kushikilia maeneo ndani ya Israeli.

2. Israel na Marekani kufanya mazungumzo na hata kukubaliana na HAMAS.

3. Israel kuwa tayari kufanya mazungumzo kusaka mapatano na Hizbollah:

View attachment 2843590

4. Houthi kufunga njia ya bahari hadi wa magharibi kughairi:

View attachment 2843595

5. Maaskari wa vyeo vizito vizito wa Israel kufia vitani Palestina dhidi ya wana mgambo:

View attachment 2843616

6. Kufahamika uwepo wa wafungwa watoto wa kipalestina waliofungwa na mahakama za kijeshi magerezani Israel.

7. Pamoja na madhila yao Gaza na Palestina kwa ujumla hata afya za miili yao yawezekana wako vizuri kuliko hata sisi.

View attachment 2843617

(Linganisha commando wao na wetu).

8. Yawezekana Gaza wanapata umeme na maji vya uhakika vyema kuliko sisi.

9. Haipo namna ya kuwatengenisha HAMAS na wapalestina kwamba HAMAS ni Palestina na Palestina ni HAMAS:

View attachment 2843589

10. Ufumbuzi pekee wa mgogoro huu ni mazungumzo yenye hatma ya kuwa na mataifa mawili kuishi kwa amani kama majirani.

Vita field, vita siyo kwenye sinema kwa kina Rambo, Schwarzenegger na kina Chuck Norris.
Hawa Hamas ni wanaume wa ashoka achana nao kabisa, wale mayahudi wengi wao ni mashoga tu kazi yao kubwa kuua wanawake na watoto
 
Back
Top Bottom