Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,274
Hapanahivi dada wewe ni dk?
Hapanahivi dada wewe ni dk?
Daaahhh, nimemiss maboga hatari..
Hongera.Mimi nilivumilia nilipata cheti cha darasa la saba A
Ili tune brain utaweza, sijaacha kula nyama kabisa lakini ninakula baada ya miezi mitatu, hiyo siku tumbo litasumbua sana kwenye digestionIla watu mnaoweza kula kila kitu mnaraha.
Mlo ukikosa nyama nitaota sikula.
Yah wenzetu hawasubiri yakomae wale ugali.Naona kuna mahindi hapo..
Tatizo ulikuwa mkorofi, hata uliponunuliwa mabuti ili uwe unaukanyaga umande juu uliyakataaYes asante.... nilikimbia umande
Naona mayai (kuku nyama) protini na mahindi(wanga). Sijaelewa kusidio lako ni lipi hasa?
Umande unakatwa na katambugaTatizo ulikuwa mkorofi, hata uliponunuliwa mabuti ili uwe unaukanyaga umande juu uliyakataa
Kusudio ni idea za vyakula kwa wanao katibu kuepuka nyama na wanga. Mayai ni tofauti na nyama ingawa vyote vina protini.Naona mayai (kuku nyama) protini na mahindi(wanga). Sijaelewa kusidio lako ni lipi hasa?
Daaahhh, nimekumbuka bana, nilivaaga sana katambuga hadi nilipofika darasa la 5 Mwl wa darasa alipoanza kutukazania tununue viatu tuachane na katambuga, ndio nikanunua.Umande unakatwa na katambuga
Katambuga ndiyo mpango mzima, jua mvua, umande all weatherDaaahhh, nimekumbuka bana, nilivaaga sana katambuga hadi nilipofika darasa la 5 Mwl wa darasa alipoanza kutukazania tununue viatu tuachane na katambuga, ndio nikanunua.
Hapa afadhali
MultpurposeKatambuga ndiyo mpango mzima, jua mvua, umande all weather
Nyama na wanga yanaifanya damu yako iwe rahisi kukaribisha magonjwa.Hii kitu kuifatilia ni ngumu kama jiwe!
Heri nibaki zangu gym ninyanyue machuma weee nijenge kifua na kukata fat!
Hiyo chakula ni full time job aisee!
Sio rahisi kiivyo!
Broccoli 🥦Nifahamishe jina ya hizo mboga zilizochanganywa na mlo wenye nanasi tafadhali.
Mpenda nyamaIla watu mnaoweza kula kila kitu mnaraha.
Mlo ukikosa nyama nitaota sikula.