THE ONETATUS
Member
- Oct 2, 2012
- 29
- 9
Hakuna atakachofanyiwa mwananume akose la kuongea juu yako zuri na baya halina tofaut kwenu
Hao wanataka good time tu hawajali kuhusu quality...kitu quality lazima ujifeel proud kwa kukitolea jasho!Kila mtu ana choice yake... wengine wanaenda huko kwa "kimboka " for one night stands! Sijui nao wanatafuta quality!...
tena ukichelewa naanza kutongoza mie lol!
Kwani umeambiwa vidudu ni vipenseli (kwamba vitaisha kutokana na kuchongwa)? Kipochi manyoya kikijileta lazima kigegedwe!
Hao wanataka good time tu hawajali kuhusu quality...kitu quality lazima ujifeel proud kwa kukitolea jasho!
Ha ha ha loh waambie wasikie!vinapungua utamu... mtakuja kuoa mshangae wake zenu wanatoka nje sababu mlivitumia vibaya vidudu vyenu.
Huo kwangu naona utakuwa mkosi, itabidi niende kuoga maji ya bahari hindi!
^^
Wanatukimbilia kutuchuna..si unajua tena ila kweli raha zetu hazielezeki sio kizazi chenu cha chips mayai kwa unga wa sembe..dakika 3 jasho ndoo nzima.
^^
Mhhh...ok mi sina la kusema...^^
Wanatukimbilia kutuchuna..si unajua tena ila kweli raha zetu hazielezeki sio kizazi chenu cha chips mayai kwa unga wa sembe..dakika 3 jasho ndoo nzima.
^^
kwa hiyo mkuu, unataka kusemaje hapa??
MABIGIIIIIIIIIII!!!!!!!!!!!!! Mkunaji anapompakazia mashtaka mkunwaji!
MTU MZIMA HOVYOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!! Mkipewa kiurahisi hamtaki, mkinyimwa mnaonewa, mkiuziwa hamfiki bei, Mkikopeshwa mnaona haya!!!!!!!! Mfanyiwe nini mrizike nyie ZIGO LA MIBA!!!!!!!!! Mbona hambebeki mnaendekeza shukrani ya kwapa, hata ukiliosha, sugua deodorant na spray juu lipe takika 2 limefumu!!!!!!!!!
vinapungua utamu... mtakuja kuoa mshangae wake zenu wanatoka nje sababu mlivitumia vibaya vidudu vyenu.
Maisha ya juma tofaut na ya hussein hiv kumzungusha mtu ndo kusema unajielewa sana oooh???ss hv mambo fashta.....zamani chakula kukipika lisaa lizima lkn ss hv dk 10 chezea jiko la ges ww!!!!
Zamani ya miaka ya 1980+ nilishuhudia mwenyewe, japo mambo yanabadilika kuna mambo mengine yanatakiwa kubaki kama yalivyo vinginevyo yabadilike kwa kurudi nyuma...
hatuvitoi hovyo hovyo ila nyie ndio mnatembeza balaa. cc Bazazi
na wewe mwanaume mpaka ujue ukigusa tu unapewa ina maana wewe ndio mtembezaji na umeshajaribu wengi mpaka kufikia hiyo conclusion. wanawake kumi wanapokupa wewe papuchi mtu mmoja ni nani hapo kakitembeza sana kikojoleo chake?Refer heading ya thread hii ambayo (mimi wewe na wengineo) tunachangia. Na kwa kuwa hakuna mtu - so far - anaebisha kuwa si kweli siku hizi nyie wenye vipochi manyoya vyenu mkiguswa tu mnavitoa, kuna ukweli. Sasa sijui maana ya hicho ulichokidai hapo kwenye RED!
Bai -ze- wei; tutatembezaje balaa bila kupewa vigegedwa?