Yaani siku hizi ukigusa tu, unapewa bila hiyana...

Mimi sionitatizo,tunawaomba sisi na tualalamika sisi, mimi naona kumalizana faster faster ndo mzuka et! kwani hata akikuzungusha kwa mwaka mzima ila si akikupa itakuwa ile ile? mi nikiwaomba mnipe siku hiyo hiyo tena itapendeza sana! achaneni na huyu mnafiki chovya chovya asiye na shukurani.


Naona kishoka umejiwekea mazingira mazuri ya kupewa fasta.... Kumbuka "easy come easy go"
 
Jaman wana jf, mwenzenu nashangazwa na tabia za dada zetu wa leo. Nakumbuka miaka ya nyuma kukubaliwa ilikua shughuli, utahangaika mpaka ukome, tena akikubali unakua na kazi ngumu ya kumshawishi hadi akuvulie chu..
Kwa mwanamke wa leo sasa, hatongozwi ila anabanduliwa kirahisi bila hata kumdanganya kitu... Si mke wa mtu wala asiyeolewa. Had tunajiuliza au mnangoma ndo mnataka mtuambukize?? Kunanini hapa wadau au mtausingizia tena utandawazi? Jirekebisheni bhana, msikubali haraka.....

miaka ya nyuma sikuwepo mimi, kamwe usifananishe ya miaka ya nyuma na ya sasa. na kama ukikubaliwa haraka si ukatae? Tafuta wa zamani hawa wa sasa si type yako.
 
Jaman wana jf, mwenzenu nashangazwa na tabia za dada zetu wa leo. Nakumbuka miaka ya nyuma kukubaliwa ilikua shughuli, utahangaika mpaka ukome, tena akikubali unakua na kazi ngumu ya kumshawishi hadi akuvulie chu..
Kwa mwanamke wa leo sasa, hatongozwi ila anabanduliwa kirahisi bila hata kumdanganya kitu... Si mke wa mtu wala asiyeolewa. Had tunajiuliza au mnangoma ndo mnataka mtuambukize?? Kunanini hapa wadau au mtausingizia tena utandawazi? Jirekebisheni bhana, msikubali haraka.....

Umalaya tu unakusumbua wewe, hamna lolote. Unatchafulia sifa watu wa zamani, hatujawahi kuwa na uroho wa mapenzi kama wewe. Zamani walikuwa wanasumbua wapi? acha kudanganya watu kwamba watu wa zamani walikuwa tongozatongoza kama wewe,.. kwenda kule,.. Mataaa.. ngo yako.
Jirekebishe kwanza wewe kwa kuacha tongo-tongoza yako kisha hao wadada wa hivyo kama wapo watakosa wa kuwatongoza.... Sijui wanaume malaya ndo wanaitwa vicheche, lolote lilie ndo jina lako.
 
hahahaah, mie nawahusia tu wanaume msione sifa kutembea na wanawake wengi, tunahitaji tukiolewa tukute vikojoleo vyenu bado vina ladha wajameni.

hahahaaaaa leo umepanda grands ngapi lol......yani unanichekesha sana

nacheka hadi wa pembeni yangu ananishanga
 
Jaman wana jf, mwenzenu nashangazwa na tabia za dada zetu wa leo. Nakumbuka miaka ya nyuma kukubaliwa ilikua shughuli, utahangaika mpaka ukome, tena akikubali unakua na kazi ngumu ya kumshawishi hadi akuvulie chu..
Kwa mwanamke wa leo sasa, hatongozwi ila anabanduliwa kirahisi bila hata kumdanganya kitu... Si mke wa mtu wala asiyeolewa. Had tunajiuliza au mnangoma ndo mnataka mtuambukize?? Kunanini hapa wadau au mtausingizia tena utandawazi? Jirekebisheni bhana, msikubali haraka.....

sasa wewe hujui kuwa huu ni wakati wa digitali hayo mambo ya kuangaika yalikuwa ni ya analogia nakumbuka kipindi hicho mtu anatoka tandika kwa miguu hadi mikocheni kufuatilia mtoto wa geti kali alafu ukifa unaambiwa hayupo kaenda tuisheni aisee tumetoka mbali sana.
 
Sisi Wanaume ni viumbe adimu sana,
Sasa wakikataa au kukuzungusha, wanaogopa utaenda kwa mwingine.
 
Maisha ya juma tofaut na ya hussein hiv kumzungusha mtu ndo kusema unajielewa sana oooh???ss hv mambo fashta.....zamani chakula kukipika lisaa lizima lkn ss hv dk 10 chezea jiko la ges ww!!!!

kweli kabisa ndivyo hivyo wanavyopumbaza wajingajinga. Kuna mdada ana mchumba wake na kampa masharti kuwa hawa-do mpaka baada ya kufunga ndoa halali, wakati mdada mwenyewe kuna wahuni wanamchapa kiulainiii. Huu unafiki ni bora uishe tumechoka nao sasa.
 
Back
Top Bottom