Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,288
badilisha heading bana. Unatufanya sisi mawazo yetu yadhanie kule tunakopendaga.
wakwere
utawajua
badilisha heading bana. Unatufanya sisi mawazo yetu yadhanie kule tunakopendaga.
Acha uongo!
eti wanaita swaga....
Dot kom mna mamboo?!
Jaluo_Nyeupe bwana..,umenchekesha. Sasa vp ushaitikia wito wa mbunge wako wa kwenda kutailiwa?
haya siwezi kubishana na wewe.maana hujuwi na utabaki hujuw.i
Usomali umejulia wapi? Unataka kunidanganya. H = X ????
Achahasira! Hawaandiki Moxamed wanaandika Maxamed! Kwa hiyo wewe ni chotara?
hahahaha ubishi tu,vp lkn? mimi sio msomali lkn nimekaa nao.au wewe msonjo?
Unakuta mtu anakutumia msg,au kuchangia hoja fulani ktk hii mitandao ya kijamii,halafu kwenye neno linalotakiwa S anaweka X.sijui huu mtindo unasaidia nn!!mf;-sasa=xaxa
msusi=mxuxi
aaaagh wacheni ujinga,mnaboa!!!!
Mimi si msonjo ila nakijua kisonjo sana!
Mimi si msonjo ila nakijua kisonjo sana!