Yaani hizi "X" zinakera!!!!aaaagh....

Unakuta mtu anakutumia msg,au kuchangia hoja fulani ktk hii mitandao ya kijamii,halafu kwenye neno linalotakiwa S anaweka X.sijui huu mtindo unasaidia nn!!mf;-sasa=xaxa
msusi=mxuxi
aaaagh wacheni ujinga,mnaboa!!!!

Initial idea ilikua ni kufupisha ujumbe......kupunguza uref wa txt....ila kwa sasa imekua mbwembwe...
 
eti kufupisha urefu wa stns!Kwani x na s zinapishana nn?
 
...hongera umefanikiwa kuniteka kwa kichwa cha habari...
 
MMH SIJwahi ona kwenye sms au popote,any way kichwa chako kinamvuto ,unafanya utafit wa akina nani wanapenda habari hii
 
Unakuta mtu anakutumia msg,au kuchangia hoja fulani ktk hii mitandao ya kijamii,halafu kwenye neno linalotakiwa S anaweka X.sijui huu mtindo unasaidia nn!!mf;-sasa=xaxa
msusi=mxuxi
aaaagh wacheni ujinga,mnaboa!!!!

Ujana unasumbua mkuu. watu wameshazoea kuchat kwa style hiyo kwenye sms ili kupunguza idadi ya maneno sasa kutokana na mazoea hayo wanajakuta wakifanya hivyo hadi kwenye JF
 
Back
Top Bottom