masingo sharili
Member
- Mar 18, 2011
- 63
- 12
Ni hivi majuzi kulikuwa na fukuto ndani ya serikali kuhusu bomoa bomoa ya magufuli huku pinda akimpinga wazi wazi. Wanaharakati na wanazuoni wakamshauri magufuli ajiuzulu ili kulinda heshima yake. Hili limeishia wapi?