stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 15,839
- 22,956
Wana JF juzi nilikuwa naangalia Al-jazeera TV walikuwa wanamuonesha Barack Obama akielekea Israel,yani sikuamini nilichokuwa naangalia,kwanza aliposhuka kwenye helicopter yake yenye steps kama 6 alishuka kwa kukimbia then alipoifikia ngazi za Airforce one alipanda ngazi zote zenye steps karibu 40 akiwa anakimbia,nikajiuliza hivi viongozi wetu wa Africa wanaokula ugali sahani mbili kila mlo wataliweza kweli hilo zoezi!