ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
- Thread starter
- #61
atabadilishaje kadi asipolipa kodi au akimuuzia mtu mwingine si lazima alipe hizo kodi?
siku moja nilishuhudia jamaa wa polis intepol, walikamata gari walipohoji kadi yake walibewa kuangalia chesis no. Kwenye kadi ilikuwa ni tofauti na kwenye gari enyewe. Aliambiwa ni la wizi, akanza kujitambulisha nilinunua serikalini na kadi hii ndiyo niliyopewa. Sina kadi nyingine. Alipelekwa polisi lakini aliachiwa na gari lake akaondoka nalo.