Michael Scofield
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 1,225
- 471
Matatizo yaliyojitokeza katika chama cha NCCR mageuzi mpaka kusababisha mh David Kafulila kuvuliwa uanachama, uenda yakamkumba mh Hamad Rashid ndani ya CUF kama ataendelea kukiuka taratibu na misingi iliyowekwa na chama chake.
Namuomba meshimiwa Hamad Rashid awe mpole katika kipindi hiki cha mpito yasije kumkuta kama yaliyomkuta mheshimiwa Kafulila.
Namuomba meshimiwa Hamad Rashid awe mpole katika kipindi hiki cha mpito yasije kumkuta kama yaliyomkuta mheshimiwa Kafulila.