Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
- Thread starter
- #21
Mimi ndiye mwenye hiyo blogu. .. mnatakaje?...
tunataka uache kucopy.
Mimi ndiye mwenye hiyo blogu. .. mnatakaje?...
tunataka uache kucopy.
Dah!Hapo kwenye red pameniacha hoi, ina maana hata ku-edit wanashindwa??!!ni yy anatoa huku coz kule kuna neno kama wana mmu,sasa mmu kwenye blogu yake inafanya nini yaani anacopy mpk anashindwa kuedit vitu kama hiyo
ahaaaa udaku wa shigongo siku hizi umefulia sanaUnashangaa hiyo blogu humshangai Shigongo, issue ya Masogange walicopt na kupaste coment yangu bila hata kuedit wakijifanya eti waliwasiliana na Mtanzania anayeishi South Africa wakati mimi nipo Didis pub masaki napata mishikaki ya samaki na senene baridi kutoka Amsterdam.
hauna viwango tatizo lake yuko peke yake kwenye ulingo ule angekuwa anacompetitor pangechimbikaahaaaa udaku wa shigongo siku hizi umefulia sana
yeye hajatupa credit hata sehemu moja,na sanasana anaficha kabisa usijue habari ameitoa wapi.Lakini huwa wanatupatia credit zetu sisi wana JF, hivyo sio mbaya maana siku hizi jf imekua source muhimu kwa habari zenye uhakika.
huyu inaonekana hata chabo hhakuwa anapiga darasani.Dah!Hapo kwenye red pameniacha hoi, ina maana hata ku-edit wanashindwa??!!
TUNAGAWANA UMASIKINI!!!!!!!! lol!
ahaaaa udaku wa shigongo siku hizi umefulia sana
mi nipo bush huku sijaenda ila nilisikia kwa mabebs wenzangu ilikuwa super sanaVipi mbebs wa ukwehe uzinduzi wa super blog king of all social network ulikwendaje?
Damn .....!!!!!!!!!!
mi nipo bush huku sijaenda ila nilisikia kwa mabebs wenzangu ilikuwa super sana
Kumbe bado unakunywa mtori, ila angalia usije ukaota kitambi maana Israel bia na nyama choma ndio maisha yenyewe.
mkuu post yako ipo huko kajiangalie.!
nishawaambia kwamba huyu kilaza anakopi mpk maneno kwa mfano neno kama mmu kule lipo ambalo maana yake ni mahusiano,mapenzi na urafikiTutajuaje anaekopi kwa mwenzie????? Je kama watu humu wanakopi kuleee?