Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,761
- 5,039
Mwaka 2022 Xiaomi walizindua tablet ambayo inakwenda kwa jina rahisi tu "Redmi Pad" ... yaani Xiaomi Redmi Pad. Ambayo bei yake ni kama shilingi laki nne hivi za kitanzania.
Tablet hii inakioo cha inchi 10.61 ambacho ni LCD screen, kulingana na bei yake.
Kioo chake kina refresh rate ya 90Hz na brightness inafikia hadi 400nits. Hili ni jambo la kufurahisha kwa tablet ya bei hii. Kuangalia muvi kwenye kioo hiki cha 90Hz ni miongoni mwa utamu unaopatikana kwenye tablet hii
Specifications zake ni kubwa kuliko bei yake
Betri lake ni kubwa sana 8000mAh sio utani aisee. Yaani shida ya chaji utaisikia kwa jirani tu.
Inasupport 18W fast charger, lakini kwenye boksi unakuta 22.5W charger, what a suprise
Hii tablet ni ya shilingi laki nne tu lakini ina muonekano premium sana. Apple hutumia muonekano wa aina hii kwenye tablet zake za mamilioni
Xiaomi Redmi Pad inafaa kabisa kwa kuchezea magemu. Shukrani zote ziende kwa MediaTek Helio G99 ambayo ni chipset kubwa sana kwa bei hii
Pia inakuja katika matoleo ya aina tatu ambayo ni (3GB RAM 64GB ROM), (4GB RAM 128GB) na (6GB RAM 128GB)
Redmi Pad inakuja na Android 12 na MIUI 13.1 na pia tablet hii itapata software updates za miaka miwili yaani itapata Android 14 na MIUI 15 respecively.
Software ya MIUI 13 kwenye Redmi Pad inavutia sana. Angalia muonekano wake hapo chini.
Hii ni home screen
Hii hapa chini ni App drawer (optional)
Hiyo hapo chini ni Mi Control Centre
Na hii ni Notification bar
Angalia pia hapo chini namna MIUI 13 inavyomeremeta kwenye Xiaomi Redmi Pad
Hii ni settings
Hii ni application ya kuandaa na kutunza notes zako
Hii ni file manager ya Xiaomi
Hii ni feature ya Split screen
Hizi ni floating windows
Kiufupi MIUI 13 ina styles na features nyingi sana, siwezi kuzitaja zote
Bila kusahau Xiaomi Redmi Pad inatumia stereo speakers kwa hiyo ina sauti kubwa na nzuri sana kwa kusikiliza muziki, sauti nzuri ukiwa unaangalia movie na kadhalika.
Ingawa kamera sio kipaumbele sana kwenye tablet, lakini Xiaomi hawajaamua kuliacha suala hili nyuma. Bado wameweka kamera nzuri sana ambayo hutoipata kwenye tablet nyingine za bei hii
Kamera ya nyuma ina 8MP na ya mbele nayo ina 8MP
Picha zinazopigwa na kamera ya nyuma ni nzuri sana katika tablet.
Picha zake zimebalance rangi na hutoka kali zaidi kukiwa na mwanga. Inafaa kwa matumizi ya kila siku
Kwa sasa Xiaomi Redmi Pad zinapatikana AliExpress kuanzia TSh 390,000/= hadi laki tano kulingana na storage na RAM utakayochagua
Tablet hii inakioo cha inchi 10.61 ambacho ni LCD screen, kulingana na bei yake.
Kioo chake kina refresh rate ya 90Hz na brightness inafikia hadi 400nits. Hili ni jambo la kufurahisha kwa tablet ya bei hii. Kuangalia muvi kwenye kioo hiki cha 90Hz ni miongoni mwa utamu unaopatikana kwenye tablet hii
Specifications zake ni kubwa kuliko bei yake
Betri lake ni kubwa sana 8000mAh sio utani aisee. Yaani shida ya chaji utaisikia kwa jirani tu.
Inasupport 18W fast charger, lakini kwenye boksi unakuta 22.5W charger, what a suprise
Hii tablet ni ya shilingi laki nne tu lakini ina muonekano premium sana. Apple hutumia muonekano wa aina hii kwenye tablet zake za mamilioni
Xiaomi Redmi Pad inafaa kabisa kwa kuchezea magemu. Shukrani zote ziende kwa MediaTek Helio G99 ambayo ni chipset kubwa sana kwa bei hii
Pia inakuja katika matoleo ya aina tatu ambayo ni (3GB RAM 64GB ROM), (4GB RAM 128GB) na (6GB RAM 128GB)
Redmi Pad inakuja na Android 12 na MIUI 13.1 na pia tablet hii itapata software updates za miaka miwili yaani itapata Android 14 na MIUI 15 respecively.
Software ya MIUI 13 kwenye Redmi Pad inavutia sana. Angalia muonekano wake hapo chini.
Hii ni home screen
Hii hapa chini ni App drawer (optional)
Hiyo hapo chini ni Mi Control Centre
Na hii ni Notification bar
Angalia pia hapo chini namna MIUI 13 inavyomeremeta kwenye Xiaomi Redmi Pad
Hii ni settings
Hii ni application ya kuandaa na kutunza notes zako
Hii ni file manager ya Xiaomi
Hii ni feature ya Split screen
Hizi ni floating windows
Kiufupi MIUI 13 ina styles na features nyingi sana, siwezi kuzitaja zote
Bila kusahau Xiaomi Redmi Pad inatumia stereo speakers kwa hiyo ina sauti kubwa na nzuri sana kwa kusikiliza muziki, sauti nzuri ukiwa unaangalia movie na kadhalika.
Ingawa kamera sio kipaumbele sana kwenye tablet, lakini Xiaomi hawajaamua kuliacha suala hili nyuma. Bado wameweka kamera nzuri sana ambayo hutoipata kwenye tablet nyingine za bei hii
Kamera ya nyuma ina 8MP na ya mbele nayo ina 8MP
Picha zinazopigwa na kamera ya nyuma ni nzuri sana katika tablet.
Kwa sasa Xiaomi Redmi Pad zinapatikana AliExpress kuanzia TSh 390,000/= hadi laki tano kulingana na storage na RAM utakayochagua