Saa zingine unaweza kufikiria kuwa waliaamua waweke pozi la namna hiyo wapigwe picha maana wote wamekodoa vilivyo kwenye kameraBinafsi nlicheka nlivyomona polisi
akula ... lakini nlimonea huruma huyo jamaa
aliye kanyagwa shingo ....
you're welcome
thanx for the comment...
Za kwetu zina vituko sana lol zile za kusukuma gari la JairoNlikuwa natafuta picha nzuri
za kwetu lakini sikupata nafanyia kazi lakini...
Kuna picha moja ninayo kwenye folder yangu Klorokwin na Uporoto wamepigwa picha wanaiba sufuria la Futari kule Tandalehahahahahah lohh
wewe acha kunichekesha..
Ntapata tu ...
Kuna picha moja ninayo kwenye folder yangu Klorokwin na Uporoto wamepigwa picha wanaiba sufuria la Futari kule Tandale
Hahaha!!! Nitakutumia ziko nyingi sana nyingine zinamuonyesha Hashycool yuko Kona baa, halafu nyingine Michelle amekamtwa kaiba kipedo kwenye mtumba lolzembu nitumie
kwa ile njia nyingine nianze collection lolz
hahahahahah ..
ngoja Klorokwin arudi utazidishiwa dozi ..
mi simo lolz..
Mtihani mgumu sana huo ..
ngoja niulizie lakini....