myhem
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 933
- 358
Asante mpendwa kwa kuweka picha za hao wanafiki.Ila hapo najiuliza kama kweli Jairo anapendwa kiasi hicho au ndo kujikomba ili asile kichwa cha mtu aliyemchomea utambi.
Afrodenzi... kama kuna zawadi ya kukupa kusema kweli ningekupa kwa thread hii... Umefanya kazi nzuri sana..... That is the greatest and the best thread ever..... You did a great research ....... You must be a journalist by professional..... Asante sana
Kila nikiiangalia hii picha huwa naishia kucheka maana jamaa kama aliweka pozi kabisa ili apigwe picha
This is my best picture, Jamaa ameonesha real respect to manhood jinsi alivyowabeb kwa feelings huku analia moyoni na sio machoni, hapo angekuwa mdada ingekuwa ni kilio tu, but a real man makes decision no matter how tough the situation, hopin aliwafikisha kwenye pumziko la milele kama alivyokusudia, Kuna watu wanakutana na life experience sio za kitoto duniani