walinichekesha pale walipogombania kuchukua kombe, odinga alikuwa anaona ni sawa tu kama yeye akichukua kama rais na kibaki naye ndo wa kwanza kubeba, ikabidi wote wawili walishikilie hadi mabodigadi walipokuja kuamulia...hahahaha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.