USA ingepangiwa na England, kwa mpira huu England ingepigwa hata 10.
Nashukuru kwa support lkn wewe mwenyewe umeona soka la hali ya juu
pongez kwa kipa wenu. ameokoa magoli mengi. vinginevyo tungekuwa tunazungumzia tano na nusu hivi.....lol
USA ingepangiwa na England, kwa mpira huu England ingepigwa hata 10.
Alikuwa analalamika Added Time ilikuwa 1 min tuu
Alikuwa anataka Fergie time {+5 mins} lol
wale #teambeligium tupeane pongezi na tukutane wakati mwingine.
No Comment ila inawezekana 3-0.USA ingepangiwa na England, kwa mpira huu England ingepigwa hata 10.
havipishani mashabiki havipishani magazeti wachezaji ndio usiseme wanahitaji kucheza pamoja watoe draw.England hamna kitu kabisa!
Kwanza kiwango cha soka cha England na cha bongo wala havipishani sana.
Marekani soka yao (timu ya taifa) iko juu sana zaidi ya England.
Ndiye yeye,The Special one hapendi kabisa vijana
Hatuna cha kumshukuru!Tim Howard ni keeper wetu na leom kafanya kazi yake