World Cup 2014, Brazil: June 12 - July 13

naona timu zangu nilizosema ntazifuatilia baada ya Waafrika kutolewa bado zipo.... Germany na Belgium. 10 O'clock news zitakuwa poa hapatakuwa na kelele
 
England hamna kitu kabisa!

Kwanza kiwango cha soka cha England na cha bongo wala havipishani sana.

Marekani soka yao (timu ya taifa) iko juu sana zaidi ya England.
havipishani mashabiki havipishani magazeti wachezaji ndio usiseme wanahitaji kucheza pamoja watoe draw.
 
Ilikuwa vita nzito
 

Attachments

  • 1404255535185.jpg
    1404255535185.jpg
    33.2 KB · Views: 38
  • 1404255557193.jpg
    1404255557193.jpg
    30.7 KB · Views: 36

Similar Discussions

Back
Top Bottom