Antony wa Man United aondolewa timu ya taifa kwa tuhuma za kumpiga mpenzi wake

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Feb 7, 2022
2,308
5,460
Anto.JPG

Uongozi wa Timu ya Taifa ya Brazil imechukua maamuzi hayo dhidi ya nyota huyo wa Manchester United ikidaiwa alimshambulia kwa kumpiga kichwa Gabriela Cavallin walipokuwa hotelini Januari 15, 2023.

Gabriela ambaye kwa sasa hana uhusiano na Antony (23) anadai aliumizwa kifuani na hivyo kulazimika kufanyiwa upasuaji.

Antony amesema uhusiano huo ulikuwa na misukosuko mingi lakini hakuwahi kumpiga Gabriela na kueleza kuwa hizo ni taarifa za kutungwa, Polisi wa Sao Paulo (Brazil) na Greater Manchester (England) wanaendelea na uchunguzi.

Manchester United haijatoa tamko lolote, ikumbukwe staa mwingine wa timu hiyo Mason Greenwood alilazimika kuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya mwaka kwa tuhuma kama hizo

=============

Antony: Brazil drop Manchester United winger after abuse allegations

Brazil have dropped Manchester United winger Antony following allegations of abuse by his former girlfriend.

The Brazilian football federation said the 23-year-old had been withdrawn from the squad after "facts became public" that "need to be investigated".

Brazilian news outlet UOL published allegations made by Antony's ex-partner on Monday.

Police in Sao Paulo and Greater Manchester are investigating the claims, which the player has denied.

"I can calmly state that the accusations are false and that the evidence already produced and the other evidence that will be produced demonstrate that I am innocent of the accusations made," Antony said on social media.

"I trust that the ongoing police investigations will demonstrate the truth about my innocence."

Antony is accused of attacking his former girlfriend Gabriela Cavallin "with a headbutt" in a Manchester hotel room on 15 January, leaving her with a cut head which needed treatment from a doctor.

She also alleges she was punched in the chest, causing damage to a silicone breast implant, which required corrective surgery.

Antony added in his statement on Monday that his relationship with his former partner was "tumultuous", but insisted he "never committed any physical aggression".

He also released a statement in June saying he had been falsely accused by his former girlfriend of domestic violence.

Greater Manchester Police (GMP) said it is "aware of the allegations made and enquiries remain ongoing to establish the circumstances surrounding this report".

It added: "We will not be commenting any further at this time."

Manchester United said they had no comment on the matter at present when contacted by BBC Sport.

The allegations come after the Premier League club announced last month that forward Mason Greenwood would leave by mutual agreement following a six-month internal investigation.

Charges against Greenwood, including rape and assault, were dropped in February. The 21-year-old joined Spanish side Getafe on loan last week.

Antony has been replaced in the Brazil squad by Arsenal striker Gabriel Jesus for the upcoming World Cup qualifiers against Bolivia and Peru.

Source: BBC
 
Dunia inatumia nguvu nyingi kumlinda mwanamke asee😂😂😂
Ni vile tu wanaume tumeumbiwa ubishi na hatuna tabia ya kubadilika kwa haraka !! Ila tungekua tushawakabidhi mamlaka yote watuendeshe.
Hapa vitasa angepigwa muhuni hata isingekua headline.
 
Dunia inatumia nguvu nyingi kumlinda mwanamke asee
Ni vile tu wanaume tumeumbiwa ubishi na hatuna tabia ya kubadilika kwa haraka !! Ila tungekua tushawakabidhi mamlaka yote watuendeshe.
Hapa vitasa angepigwa muhuni hata isingekua headline.
Mungu ametupa mamlaka nanguvu juu yahawa wanawake ila wanaume wenyew tukamua kumpatia mamlaka huyo mwanamke sasa tunaisoma
 
View attachment 2739384
Uongozi wa Timu ya Taifa ya Brazil imechukua maamuzi hayo dhidi ya nyota huyo wa Manchester United ikidaiwa alimshambulia kwa kumpiga kichwa Gabriela Cavallin walipokuwa hotelini Januari 15, 2023.

Gabriela ambaye kwa sasa hana uhusiano na Antony (23) anadai aliumizwa kifuani na hivyo kulazimika kufanyiwa upasuaji.

Antony amesema uhusiano huo ulikuwa na misukosuko mingi lakini hakuwahi kumpiga Gabriela na kueleza kuwa hizo ni taarifa za kutungwa, Polisi wa Sao Paulo (Brazil) na Greater Manchester (England) wanaendelea na uchunguzi.

Manchester United haijatoa tamko lolote, ikumbukwe staa mwingine wa timu hiyo Mason Greenwood alilazimika kuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya mwaka kwa tuhuma kama hizo

=============

Antony: Brazil drop Manchester United winger after abuse allegations

Brazil have dropped Manchester United winger Antony following allegations of abuse by his former girlfriend.

The Brazilian football federation said the 23-year-old had been withdrawn from the squad after "facts became public" that "need to be investigated".

Brazilian news outlet UOL published allegations made by Antony's ex-partner on Monday.

Police in Sao Paulo and Greater Manchester are investigating the claims, which the player has denied.

"I can calmly state that the accusations are false and that the evidence already produced and the other evidence that will be produced demonstrate that I am innocent of the accusations made," Antony said on social media.

"I trust that the ongoing police investigations will demonstrate the truth about my innocence."

Antony is accused of attacking his former girlfriend Gabriela Cavallin "with a headbutt" in a Manchester hotel room on 15 January, leaving her with a cut head which needed treatment from a doctor.

She also alleges she was punched in the chest, causing damage to a silicone breast implant, which required corrective surgery.

Antony added in his statement on Monday that his relationship with his former partner was "tumultuous", but insisted he "never committed any physical aggression".

He also released a statement in June saying he had been falsely accused by his former girlfriend of domestic violence.

Greater Manchester Police (GMP) said it is "aware of the allegations made and enquiries remain ongoing to establish the circumstances surrounding this report".

It added: "We will not be commenting any further at this time."

Manchester United said they had no comment on the matter at present when contacted by BBC Sport.

The allegations come after the Premier League club announced last month that forward Mason Greenwood would leave by mutual agreement following a six-month internal investigation.

Charges against Greenwood, including rape and assault, were dropped in February. The 21-year-old joined Spanish side Getafe on loan last week.

Antony has been replaced in the Brazil squad by Arsenal striker Gabriel Jesus for the upcoming World Cup qualifiers against Bolivia and Peru.

Source: BBC
Hawa mademu wanatafuta pesa na umaarufu tu.
 
Ajiandae. Watamsulubu... Then watamuuza kama greenwood. By the way huko man u Kuna nini mbona mnapenda kupiga ngumi mademu
 
Back
Top Bottom