ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,772
- 6,557
Haiwezekani wawatoe Uholanzi
uholanzi ni noma sana...
Haiwezekani wawatoe Uholanzi
Nataka Colombia washinde goal Tatu
hawa uru naona wamepaki mabasi wawili
hiyo ni team mavempire.. Come on team mavempire..
Haiwezekani wawatoe Uholanzi
Hamna visingizio, kesho dunia haitaamin Uholanzi wakila kichapo, tena kichapo chembamba 1-0. Amin usiamin Uholanz kesho analala kwa Mexico.
Kesho nitakuwa kwa Netherlands nataka wakutana ne Brazil huko mbele walipize machungu ya 2010
Haya mlioko live hebu tupieni updates mkizingatia dk na magoli kwa kila timu na ikiwezekana na vitukio vya hapa na pale kama labda kuna mtu katysoniwa mguu, mkono, sikio ama kiungo chochote.
watakaa tu hao...Kipa wa Mexico unamjua?Holand wana Kazi
Kesho timu zote zangu japo moja inalazimika kudondoka ila nitakuwa mexico kwa ajili ya kukutia presha, jipange vizuri.
Kesho timu zote zangu japo moja inalazimika kudondoka ila nitakuwa mexico kwa ajili ya kukutia presha, jipange vizuri.
Dak ya 23 bilabila na mpira upo kawaida tu ngoja tuendelee kuwacheki.
Kipa wa Mexico unamjua?Holand wana Kazi
Hamna visingizio, kesho dunia haitaamin Uholanzi wakila kichapo, tena kichapo chembamba 1-0. Amin usiamin Uholanz kesho analala kwa Mexico.
mexico hamna timu hapo..