heshima kwenu wanabodi,
Ninahitaji ngazi za mbao au hata za steel (kama nitakosa za mbao) kwa ajili ya nyumba
Nafahamu hizi ngazi huwa zinakuwa zimetengenezwa kabisa kwa hiyo fundi yeye hufanya tu kazi ya kufix, kama kuna mtu anauza au anajua wapi naweza kuzipata hapa dar es salaam naomba anipm au anipe mwongozo hapa.
Kitu ninachotafuta ni kama hiki
Ninahitaji ngazi za mbao au hata za steel (kama nitakosa za mbao) kwa ajili ya nyumba
Nafahamu hizi ngazi huwa zinakuwa zimetengenezwa kabisa kwa hiyo fundi yeye hufanya tu kazi ya kufix, kama kuna mtu anauza au anajua wapi naweza kuzipata hapa dar es salaam naomba anipm au anipe mwongozo hapa.
Kitu ninachotafuta ni kama hiki