Superman
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 5,695
- 1,696
- Thread starter
- #61
they are more than selfish, ndio maana nchi walizokwisha kuendelea wanaoa wanaume wachache tena kwa sababu ya kutimiza malengo yao ya kisiasa, hata mm nitaoa kwa sababu hiyo hiyo, siku zote ninapopangiwa bosi mwanamke du amani hutoweka.
Mkuu, tuwape heshima:
Ni mama zetu
Dada Zetu
Bibi Zetu
Shangazi zetu
Wake zetu
Rafiki zetu nk
Umewahi kufikiria Dunia ingekuwa vipi bila wanawake?