Kitu kilekile tu angalau tunawakumbuka kwa kitu kimoja halafu kwenye hilo bichwa la mwanamke ni wazi wako materialistic sana wanawaza pesa na good time tu.
mi mzima kabisa mkuu wangu .
nliona umepotea ghafla yaani .wazima huko kwenye sayari ya mbali ??
hopefully na we ni mzima kabisa...
Hivi kumbe nilikuwa na zawadi hiyo mbona mi sijui naomba details kidogo nianze kusumbua hahahahah lol:redface:
good to see you back dear