Women Vs. Men

what_men_women_need_m.jpg
 
Kitu kilekile tu angalau tunawakumbuka kwa kitu kimoja halafu kwenye hilo bichwa la mwanamke ni wazi wako materialistic sana wanawaza pesa na good time tu.

Mkuu, sijui kama haya yote yana facts kiasi gani. Inawezekana wanawake wengine hawako hivyo.
 
:)
mi mzima kabisa mkuu wangu .
nliona umepotea ghafla yaani .wazima huko kwenye sayari ya mbali ??
hopefully na we ni mzima kabisa...

Hivi kumbe nilikuwa na zawadi hiyo mbona mi sijui naomba details kidogo nianze kusumbua hahahahah lol:redface:

good to see you back dear :)

Ooops lile shindano la Jamii Photos au Sports liliishiaje kwani? Hebu peruzi uniambie basi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom