Maxence Melo JF Founder Feb 10, 2006 4,230 13,415 Apr 21, 2010 #1 Kina mama (na kina dada) wajasiriamali changamkieni nafasi hii, ni nafasi ya kipekee kwa mwanamke wa Tanzania! Deadline ya maombi ni May 31, 2010. Namshukuru aliyenitumia fursa hii kwa wanawake wa Tanzania. Attachments WomenEnterpreneurs2010.zip 681.2 KB · Views: 220
Kina mama (na kina dada) wajasiriamali changamkieni nafasi hii, ni nafasi ya kipekee kwa mwanamke wa Tanzania! Deadline ya maombi ni May 31, 2010. Namshukuru aliyenitumia fursa hii kwa wanawake wa Tanzania.
Mkereketwa JF-Expert Member May 19, 2007 202 25 Apr 23, 2010 #3 Mkuu hii doc. uki-download mbona huipati. File linakuwa empty.
Maxence Melo JF Founder Feb 10, 2006 4,230 13,415 Apr 23, 2010 Thread starter #6 Mkereketwa said: Mkuu hii doc. uki-download mbona huipati. File linakuwa empty. Click to expand... Kuna yeyote anakumbana na error ya namna hii?
Mkereketwa said: Mkuu hii doc. uki-download mbona huipati. File linakuwa empty. Click to expand... Kuna yeyote anakumbana na error ya namna hii?
M Mama Joe JF-Expert Member Mar 30, 2009 1,504 828 Apr 23, 2010 #7 Asante sana Maxence na pongezi kwa JF mpya.
X xhera Member Jan 21, 2010 14 0 Apr 27, 2010 #8 asante ndugu wanawake haooooooooooo.....tushindwe wenyewe tu