Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 71,073
- 94,227
Maige afunguke sasa nani aliyeruhusu wanyama waondoke?
Hawezi kufunguka mkuu, once he does that naye sheria itamuweka hatiani
Maige afunguke sasa nani aliyeruhusu wanyama waondoke?
Jambo moja linaloniudhi kila siku ni jinsi watanzania tunavyochukuliwa kuwa malofa na mataifa mengine. Habari iliyopo katika magazeti ya Guardian Ltd ni kwamba Qatar walitumia ndege ya kijeshi kuiba wanyama toka Tanzania, ndege iliyotua pale KIA na kuondoka majira ya alfajiri na mapema na wanyama 116.
Hili si jambo ndogo. Ni uhaini wa hali ya juu kwamba ndege ya jeshi la nchi nyingine inaweza kuingia kinyemela nchini na kuondoka. Nani katika jeshi alitoa kibali cha ndege hiyo si tu kuingia anga la Tanzania bali hata kutua, kwa mamlaka ya nani? Ina maana ndege kubwa ya jeshi jingine inaweza kutua nchini bila JK, raisi wa nchi kuwa na taarifa? Na kama raisi alijua aliambiwa inakuja kufanya nini? Na huko Qatar, nani aliruhusu hiyo ndege ya jeshi kuja Tanzania kuchukua wanyama? Nani katika jeshi au serikali za Tanzania na Qatar walijua? Au labda Maige amesema kweli kwamba katolewa kafara?
Inakuwaje nchi inaruhusu hali ambayo inaweza hata kuingiza askari mamluki (mercanaries) kwa kutumia ndege kubwa ya kijeshi na wala lolote lisifanyike? Viongozi wanatenda kulingana na kiapo cha ofisi walic
View attachment 56608
Ndege ya kijeshi ya Qatar iliyotumika kuiba wanyama Tanzania pale KIA
Source: IPP Media
Kiongozi,hili suala lisiwaumize kichwa sana nchi hii ishauzwa. Hii issue ilisukwa na wakubwa wote wanahusika including viongozi wa vyama vya upinzani wanajua na walihusika kwa asilimia zote. Hivi hamuoni kwamba pamoja na ufukunyuaji maovu wote unaofanywa na chadema hawajawahi kulivalia njuga hili swala? The deal was in the making way back in 2009 Dr.Slaa akiwa bado mbunge tena machachari kabisa wa kupinga ufisadi na ubadhilifu. Msiumize vichwa bana tujadili mambo mengine. Wote Slaa,Mbowe,Zitto wanajua na waliupokea mgao wao vizuri sana. Asante.