kopuko
Senior Member
- Oct 24, 2011
- 180
- 58
habari wadau,
ningependa kupata ushauri wa kisheria ni wapi pa kuanzia endapo nitagundua mwajiri wangu ananikata PPF/NSSF 20% yote kwenye mshahara wangu badala nusu kwa nusu kama tulivyokubaliana kwenye mkataba?
wapi kwa kuanzia?fidia gani mtu anaweza kupata?
Natanguliza shukrani!
ningependa kupata ushauri wa kisheria ni wapi pa kuanzia endapo nitagundua mwajiri wangu ananikata PPF/NSSF 20% yote kwenye mshahara wangu badala nusu kwa nusu kama tulivyokubaliana kwenye mkataba?
wapi kwa kuanzia?fidia gani mtu anaweza kupata?
Natanguliza shukrani!