Wizi wa Kura Wanaswa, Mpango Mzima Huu Hapa

Hovyo hovyo tu...mawio ni kama tanzania daima...wanataka lifungiwe kwa uzushi mwanahalisi irudi mjini..

Ueledi na ethics ya waandishi wa Mawio ni mkubwa sana. Story kama hii utaona kweli hawa majamaa wamefanya investigation ya hali ya juu
 
Hiyo listi sio ya kweli, Huyo mtu wa kwanza anayeenda KALENGA ni Mkeleketwa wa CHADEMA Damu, kahamia CCM Lini?
 
Katika gazeti bora hapa nchini la leo (Mawio) limeonyesha tayari mkakati maalum wa wizi wa kura unaohusisha makepteni umekamilika. Makepteni hao tayari washapewa mafunzo kwa siku kadhaa na kusambazwa katika majimbo yote 265 ya uchaguzi nchini

Katika gazeti hilo limeonyesha orodha ishatolewa na CCM ya vijana watakaopewa kazi maalum katika kila jimbo. Na wote watawajibika Makao Makuu ya CCM

Waraka huo unaonyesha kwamba "makapteni" watakuwa wanalipwa Tsh. 125,000 kwa siku.
attachment.php

attachment.php

attachment.php

Kiambatanishi ulichokiweka kinasema makapteni watalipwa 125,000 kwa WIKI, lakini wewe umesema kuwa 125,000 kwa siku!!

Upuuzi mtupu!!
 
tusome habari kwa akili zetu na siyo ushabiki.
lay man mmoja kwa kila jimbo aweza ratibu wizi wa kura?
hata ile habari ya chadema/lowasa kufunzwa na waisrael haina mashiko, ukiisoma unaona hata ikiwa na ukweli ni walinzi wa kawaida tu wa kumlinda mtu.
hizi siasa zisitutoe akili ya kawaida.
 
Jiwe walilo likataa waashi limekua jiwe kuu la msingi na yeyote atakae anguka juu yake atavunjika vunjika ama litakae mwangukia litamsaga kabisa
 
Katika gazeti bora hapa nchini la leo (Mawio) limeonyesha tayari mkakati maalum wa wizi wa kura unaohusisha makepteni umekamilika. Makepteni hao tayari washapewa mafunzo kwa siku kadhaa na kusambazwa katika majimbo yote 265 ya uchaguzi nchini

Katika gazeti hilo limeonyesha orodha ishatolewa na CCM ya vijana watakaopewa kazi maalum katika kila jimbo. Na wote watawajibika Makao Makuu ya CCM

Waraka huo unaonyesha kwamba "makapteni" watakuwa wanalipwa Tsh. 125,000 kwa siku.
attachment.php

attachment.php

attachment.php
UNAPIGA POSHO KWA KWENDA MBELE, YANI TOKEA ASUBUHI UNAHENYEKA KIJANA, DUH njaa hizi hatareeee
 
Kura zote kuhesabiwa vituoni mawakala watatuma matokeo fasta katika vituo vya ukawa pia kuhakiki. Sasa ole wao wae na figure tofauti. Mwaka huu ni uchaguzi wa akili na maarifa. Subirini dawa iingie taratibu. Ni saa ya ukombozi sasa.
 
Mimi mwenyewe nimeiona hiyo orodha ndio maana sikubisha ila penda kufuatilia vyombo vya habari ili uupinge uzi kwa facts. Bila hivyo mtaibiwa na kunyanyaswa saana na hao vibaraka wa mwisho. Pole saana mkuu
 
Back
Top Bottom