Kumekuwa na wizi wa ajabu hivi karibuni wakati unapoagiza nyama mbali mbali hususani kitimoto....kila ukiagiza kilo moja unaletewa nyama pungufu..je ni kila mtanzania fisadi ama uaminifu...swali langu kwa wizi wa nyama majikoni mtu ametoka kazini ameamua kuja kwako gafla unapunguza kile alichonunua ..nani alaumiwe...ni mteja kutosimamia mpaka mwisho.,ama anaeuza na kuchoma nyama kwa kutokuwa mwaminifu...kazi kweli kweli