Wizi wa $77milion kupitia tra.go.tz

Mwikimbi

JF-Expert Member
Mar 8, 2008
1,762
825
Kuna wizi mkubwa wa pesa za TRA zimeibiwa kupitia mtandao wa tra.go.tz, inasemekana pesa hizi zilikuwa ni malipo ya TRA toka kwa walipa kodi ambao ni TANESCO na TTCL

Naelewa gazeti laeast africa limeandika, lakini kinachoshangaza ni kuwa wahusika wapo hapa DSM, ninapoandika wako mtaani huko wana-fanya valuation of their fixed properties kwa zaidi ya mwezi sasa, inasemekana watakapokuwa tayari wametekeleza masharti ya dhamna ndo watafikishwa mahakamani.

Sijaona hii thread hapa JF ila nimeandika kama ipo naomba niunganishwe humo kwenye hiyo thread
 
inasemekana watakapokuwa tayari wametekeleza masharti ya dhamna ndo watafikishwa mahakamani

Nchi hii imeuzwa!

Sijui nianzie wapi kushangaa!

Lakini niwape ujasiri ndugu zangu,...kuna tumaini kubwa!

Mungu wa kweli yupo!, Na hatakubali tuangamizwe na wachache...semeni `Ameen!
 
Jana Guardian pia waliandika, na leo nimeiona followu up story kwenye citizen
 
Hapa Bongo wezi wa pesa nyingi kama hii huonekana wajanja, tena wakati mwingine tunawaita mashujaa!

Unakumbuka ya Kasusura?
 
Dah inatia hasira sana hawa wezi serikali vp au wanakula na serikali?
Maana wanatutesa sana uswahili wao ndo wanatembelea magari ya kifahari wanatanua na kila aina ya upuuzi alafu wakuu wapo kimyaaaaaaa.
 
Written by TanServe
Sept 22, 2009


Investigators from the Financial Intelligence Unit, have revealed that inordinate hours taken by Tanzania Revenue Authority personnel to clear tax payments made through electronic transfers, allowed a syndicate to siphon out billions of shillings remitted by state corporations.

The investigators have confirmed that it took four to six hours for tax payments made through TRA.go.tz to be authenticated by tax body's officials from the Information and Technology Department.

Sources close to the investigation into the disappearance of reportedly between $5 and $77 million (Sh6.5 billion and Sh100 billion), after it was paid through the new electronic money transfer system, and also confided to The Citizen that some TRA employees were not well versed with the new system.

Both the minister for Finance and Economic Affairs, Mr Mustafa Mkulo, and the Bank of Tanzania governor, Prof Benno Ndulu, have been separately quoted in the media saying only $5 million has been lost to an international cyber syndicate.

But first media reports revealing the theft, however, quoting sources inside TRA, claimed up to $77 million may have been stolen.

"We have also learnt that other officials were simply lazy or delayed to verify the payments and as a result allowed hackers to steal the funds," a source close to the team investigating the saga who requested for anonymity said.

The theft took advantage of the newly established Tanzania Interbank Settlement System (TISS).

Our sources also revealed that the investigations have so far established that the same system used to swindle Barclays Bank Tanzania Limited of Sh1.4 billion last November, is the same one that crooks used to hack into the TRA system. But collusion with TRA insiders had not been entirely ruled out.

A source said TRA had not adequately prepared its workers to use the Tanzania Interbank Settlement System which was introduced by BoT recently to hasten cheque clearance in excess of Sh10 million.

"We have established that the Government would be losing a lot of money if this system is not well managed, because in this global world, there are IT technician who are advanced than our own and pounce at any little loophole,"the source said in an exclusive interview last Friday.

The source said after interrogating officials from public entities that have been involved in the scandal, they have reason to believe insiders in the same parastatals played a apart as other companies that used TRA.go.tz, have not been affected.

The syndicate was suspected to have recruited senior and middle level staff at TRA, various banks, the Tanzania Telecommunication Company Limited (TTCL) and the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco), and siphoned off the money between March and August when TISS was introduced.

"Our concern with TRA is for the fraudsters to log onto their system using a special code known to them and which would access billion of shillings through TRA.go.tz," the source said. Efforts to reach TRA Commissioner General Harry Kitilya for comment were futile.

Finance and Economic Affairs minister Mustafa Mkulo, separately said he would not issue any statement as it could interfere with the ongoing invstigation. "The issue is now under investigation, I would not comment on it until the investigation is completed and findings brought to my table," he said.

According to the Bank of Tanzania, TISS is advantageous in that it offers same day settlement as opposed to the cheque system which can take up to seven days for cheques to be cleared.

In addition, TISS is supposed to be more secure due to the fact that authentication is done prior to a payment being issued, while cheques are authenticated after the payments have been effected.

According to the central bank, the introduction of TISS has also led to efficiency in the collection of tax by TRA, as all tax payments of a value of Sh5 million ($4,000) and above, are now remitted through TISS.

The arrangement, says the bank, aims at minimising fraud inherent in the cheque system as well as reducing float.
 
Hii kitu ilifanyika kweli na ni pesa nyingi sana zimeibwa ila goverment ilifanya kila iwezalo kuhakikisha hii story haitoki kwenye media yoyote. hawa watu wa media walihongwa saana,wasitoe hii story.

Watu walikuwa hawalali hapo TTCL kuizima hii scandle na kuna watu wamesimamishwa kazi tayari uchunguzi ukiendelea. Sasa hao wanaosema ni 5m tu ndo zimeibwa wanachekesha, maana wao ndo walikuwa wanatoa order kwa wakulu wa TTCL kuhakikisha hii story imezimwa kwa gharama yoyote, ilikuwa ni PAYE za TTCL zilizokuwa zinalipwa TRA, si unajua tena ni kwa wafanyakazi wote wa TTCL nchi nzima , piga hesabu mwenyewe ndo utajua kama ni 5m au siyo.

Nchi ishauzwa hii, chukua chako mapema kama hujapata.
 
Inji hii imeuzwa!

Sijui nianzie wapi kushangaa!

Lakini niwape ujasiri ndugu zangu,...kuna tumaini kubwa!

Mungu wa kweli yupo!, Na hatakubali tuangamizwe na

wachache...semeni `Ameen!
Mbona Tanzania kuna mambo ya ajabu sana kila wakati hivi hakuna mifumo bora ya kutuma pesa ambayo Benki Kuu ina scan taarifa zote
 
dawa iko jikoni

6002d1253699079-wizi-wa-77milion-kupitia-tra-com-tuwafuate.jpg

 

Attachments

  • tuwafuate.jpg
    tuwafuate.jpg
    20.7 KB · Views: 206
Haya mambo ndo yalisababisha watu wakachoka na kuingia mataani Romania!!! Hii inatia uchungu sana!!!
 
Wizi wa aina hii ya electronic kawaida unaacha alama njiani, kama wako serious watazipata.

Na zile zilizoibiwa kwa mtindo huu huu kupitia account za TUCATA ziliishia wapi? Isijekuwa tunafukuza mwizi na miongoni mwetu ni wezi wenyewe wanamsaidia kutoroka?

Vinginevyo labda iwe ni fund-raising ya 2010 or may be another Kagoda?
 
Hii tabia ya kuzima mambo ndio inalea uzembe.

Adabisha kila aliyehusika, we hiyo pesa ingefanya nini kama ingeingia kwenye huduma za jamii.

Nadhani siku tutakapowaiga China ie kila mwenye kuisababishia umma hasara ni shaba tu ndio adabu na heshima itarudi.
 
Ama kweli ubaya ubaya tu;hivi jamani kwa nini rais asiamue kujilipua dhidi ya wahusika katika issue kama hizi?

Mimi nafikiri watu wanakuwa wanathubutu kufanya hivyo kutokana na wahusika kulewa kama watu wema,hapa cha msingi unakamata mtu unamfilisi kila kitu halafu anakula mvua ya kutosha au unapoteza kabisa katika hii sayari.
 
Kama upo kwenye nchi amabayo ufisadi unaanzia ngazi ya juu ... expect anything anytime.

Natarajia kusikia mengi tukijiandaa na uchaguzi 2010!
 
Back
Top Bottom