geophysics
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 904
- 166
Thamani ya kigoda hicho hapo juu ni milioni nne laki saba....... Eti ni kigoda cha Mwalimu Nyerere.... wizi mtuuuuupu
kama kimeuzwa katika mnada sidhani kama ni kosa, kwenye minada maalumu ya kuchangia vitu mbalimbali hta kuku anaweza kuuzwa milioni kumi, yaani anaweza kunadiwa mpaka milioni kumi, juzi juzi mkoba wa magrth thatcher aliyekua waziri mkuu wa uingeeza uuliuzwa kwa dola za marekani 40,000 Thatcher's handbag sold for US$ 40,000BBC News - Thatcher's famous handbag raises £25,000 for charity
Thamani ya kigoda hicho hapo juu ni milioni nne laki saba....... Eti ni kigoda cha Mwalimu Nyerere.... wizi mtuuuuupu
wananchi wanakufa njaa wao wanatengeneza vigoda vya milion 5, pumbavu hawa.Thamani ya kigoda hicho hapo juu ni milioni nne laki saba....... Eti ni kigoda cha Mwalimu Nyerere.... wizi mtuuuuupu
mimi nashauri hizo hela zinazopotea kwenye kutengeneza the so called kigoda cha mwalimu ziende zikasaidie h ospitali zetu. kweli huu ni ubunifu mpya wa ulaji, kwani siku zote walikuwa wapi kutengeneza kigoda? kwanza hicho ni kiti na si kigoda, halafu tuambiwe hasa faida yake. watanzania hatuko wajinga kiasi hicho, narudia tena -huu ni ubunifu mpya wa ulaji, PERIOD!
Thamani ya kigoda hicho hapo juu ni milioni nne laki saba....... Eti ni kigoda cha Mwalimu Nyerere.... wizi mtuuuuupu
kwani we unavoelewa kigoda ni nini? Kiti ni nini? Kochi ni kitu gani?Hicho ni kigoda, kiti au kochi?