Wizara ya ujenzi tutegemee mabadiliko

Avocado

Member
Aug 23, 2010
97
4
Katika wizara ambazo moja kwa moja nimekuwa na imani zinaweza kufanya vizuri ni wizara ya Ujenzi chini ya John Pombe Magufuli na Harrison Mwakyembe,kwa kifupi mbali na udhaifu wa kibanadamu hawa ndugu wanaweza kuifanya wizara hiyo iwe na mafanikio zaidi,kiutendaji Magufuli tunamfahamu,ndugu zangu wa wizara hiyo kaeeni chonjo !
 
Back
Top Bottom