malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,638
Wana JF,
Kwa ujumla mimi sikupenda kujiusisha na mjadala wa kwa nini Wanafunzi wa kidato cha nne wamefeli sana na nini tatizo. Lakini baada ya kukaa kimya nimepata jawabu la kuwasaidia hawa vijana wetu badala y akuwaacha wakawa Majambazi na kujiunga na tabia zisizofaa.
Nini cha kufanya wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi stadi ni, Kuwasajili wanafunzi wote wanaotaka kurudia mtihani kama private candidate na vilevile kuondoa masharti yote magumu yanayowabana private candidateyaani utungaji wa mitihani na ugawanyaji wa marks uwe kama wa school candidates. Hawa private candidate wawe na mtihani wao na school candidate wawe na mitihani yao. wizara iache mtundo wakutunga mitihani kwa kukomoa wanafunzi unaju walimu wengi mitihani hii ya form four wanashindwa kuijibu hata kwa %60, mitihani inakuwa migumu na inamitego ya kijinga kijinga, mithani iwe wazi kwa kuwapima watoto sio kuwakomoa, unajua mtihani wa kidato cha nne ni mgumu mara 10 wa Chuo kikuu. Elimu bora sio kutunga mitihani migumu. hapo hapo wengine wanawalimu wengi, wengine wanawalimu wachache, madawati, majengo nk.
Asanteni nawasilisha.
Kwa ujumla mimi sikupenda kujiusisha na mjadala wa kwa nini Wanafunzi wa kidato cha nne wamefeli sana na nini tatizo. Lakini baada ya kukaa kimya nimepata jawabu la kuwasaidia hawa vijana wetu badala y akuwaacha wakawa Majambazi na kujiunga na tabia zisizofaa.
Nini cha kufanya wizara ya Elimu na mafunzo ya ufundi stadi ni, Kuwasajili wanafunzi wote wanaotaka kurudia mtihani kama private candidate na vilevile kuondoa masharti yote magumu yanayowabana private candidateyaani utungaji wa mitihani na ugawanyaji wa marks uwe kama wa school candidates. Hawa private candidate wawe na mtihani wao na school candidate wawe na mitihani yao. wizara iache mtundo wakutunga mitihani kwa kukomoa wanafunzi unaju walimu wengi mitihani hii ya form four wanashindwa kuijibu hata kwa %60, mitihani inakuwa migumu na inamitego ya kijinga kijinga, mithani iwe wazi kwa kuwapima watoto sio kuwakomoa, unajua mtihani wa kidato cha nne ni mgumu mara 10 wa Chuo kikuu. Elimu bora sio kutunga mitihani migumu. hapo hapo wengine wanawalimu wengi, wengine wanawalimu wachache, madawati, majengo nk.
Asanteni nawasilisha.