Nimeona mtandaoni namna ambavyo Waziri wa Afya ndugu Dorothy Gwajima alipokua anajibu hoja za Askofu Gwajima wa kanisa la ufufuo na uzima na mbunge wa Kawe.
Zaidi ya mipasho hakukua na majibu ya moja kwa moja ya kuwashawishi wananchi wakapatiwe chanjo ya UVIKO_19. Kwamaelezo ya waziri inaonekana wizara imeshashindwa kutoa elimu ya ushawishi kwa wale ambao hawajaona umuhimu wa kuchanjwa kwa sababu mbalimbali.
Waziri wa afya ameshindwa kushambulia hoja badala yake anashambulia mtoa hoja,hii ni aibu kwa chama na serikali. Anachofanya nikuliomba jeshi la polisi na TAKUKURU wamuwajibishe askofu Gwajima. Kwa maelezo ya Dorothy Gwajima,wenye mashaka juu ya chanjo hawajapata ushawishi bado.
Bora Joti, Masanja, Mkojani, Waigizaji wa Futuhi na Mizengwe wangepewa kazi ya kutoa elimu na waziri huyo akaambiwa asiseme chochote kuhusu UVIKO_19.
Mh. Rais tafuta mtu mweledi ambaye anaelewa dhamira yako ya kufanya uruhusu chanjo. Huyu Dorothy inawezekana anaelewa dhamira yako bali hawezi kutuelewesha hicho alichoelewa kutoka kwako. Hapa kwa mbaaaaaali namuona Kigwangala akipanda chati
Mh. Rais tafuta waziri wa afya anayeweza kujibu maswali ya wanaopinga chanjo huyo aliyepo anazidi kukuhujumu na yupo kimipasho zaidi.
Zaidi ya mipasho hakukua na majibu ya moja kwa moja ya kuwashawishi wananchi wakapatiwe chanjo ya UVIKO_19. Kwamaelezo ya waziri inaonekana wizara imeshashindwa kutoa elimu ya ushawishi kwa wale ambao hawajaona umuhimu wa kuchanjwa kwa sababu mbalimbali.
Waziri wa afya ameshindwa kushambulia hoja badala yake anashambulia mtoa hoja,hii ni aibu kwa chama na serikali. Anachofanya nikuliomba jeshi la polisi na TAKUKURU wamuwajibishe askofu Gwajima. Kwa maelezo ya Dorothy Gwajima,wenye mashaka juu ya chanjo hawajapata ushawishi bado.
Bora Joti, Masanja, Mkojani, Waigizaji wa Futuhi na Mizengwe wangepewa kazi ya kutoa elimu na waziri huyo akaambiwa asiseme chochote kuhusu UVIKO_19.
Mh. Rais tafuta mtu mweledi ambaye anaelewa dhamira yako ya kufanya uruhusu chanjo. Huyu Dorothy inawezekana anaelewa dhamira yako bali hawezi kutuelewesha hicho alichoelewa kutoka kwako. Hapa kwa mbaaaaaali namuona Kigwangala akipanda chati
Mh. Rais tafuta waziri wa afya anayeweza kujibu maswali ya wanaopinga chanjo huyo aliyepo anazidi kukuhujumu na yupo kimipasho zaidi.