Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
- Thread starter
- #21
niambie kirefu cha ticts na ilianzishwa lini na nani..wewe si unafifanya mjuaji..imeliingizia taifa kiasi gani hadi sasa hivi..kama hujui basi rudi kwenye madaHaraka haraka nani alikua anakukimbiza?au na wewe ni moja wa wale malimbukeni wa hapa jf kujifanya wao ndo wakwanza ku post kitu,mambo hata hayajakamilika mtu ameshapost kitu ukifungua post hakuna kitu