Wito wa Religious Tolerance: Usikosoe jambo lolote ambalo si imani yako!

Nyinyi Abdools kuongopa ni jadi yenu pale mnapo mtete Allah Mohammad na Quran yao:
1. Mtoto wa miaka 6 hadilani hawezi kuvunja ungo. Pili wewe unaweza ruhusu mwanao wa miaka 6 aolewe na libabu la miaka 50??
2. Leta Hadith inayosema Hassan ni mjukuu wa Mohammad. Aidha, utaruhusu mwanao mdogo Babu yake atumbukize LIULIMI LAKE kwa huyo mwanao wa kiume?
3. Mohammad alikuwa controlled na Shetani kwa miezi 6 mpaka akawa anaota mindoto ya ngonongono tu. Vile vile Shetani alifamfanya Mohammad a cite Aya za Shetani na mpaka akasujidia the three daughters ya miungu ya kipagani
4. Kati ya Yale majina 99 ya Allah, matano yanathibitisha kuwa Allah ndiye Shetani Mwenyewe
View attachment 2732887

View: https://youtu.be/qpzlNuvS608?si=ppamUFUof-kArO1V
 
Kwakuwa mnafanya Shingo zenu ngumu, Mungu na Wala si Allah atasambaratisha kule kunako kitovu Cha Uislam Saudia na Macca labda hapo ndiyo mtafunguka macho ya akili zenu. Hilo linakuja hivi karibuni
Choko tu wewe, huna hoja bali uzushi tu,
Anguko la vatican linakuja na likaribu sana

Halafu tuone mtaenda kufirania wapi sasa wakati dunia yote ikiwa chini waislam
 
Wanabodi,

Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba! Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu.


Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini! Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali.

Well said mkuu Pascal Mayalla

Sakata la Bandari ni 100% economics with social and political implications.
 
Wanabodi,

Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba! Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu.


Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini! Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali.
Truu color of Islam: matusi makubwa makubwa na kuchinja binadamu wenzao kama KUKU. Mm nikuambie leta proof to refute what I claim is written in your Quran wewe unatukana. Okay labda mpaka mecca ianguke ndyo mtafumbua macho yenu. Sasa hivi wameamza ku open up to the world: Mohamed bin Salmin atawaonyesha
 
Level yako ya thinking ni doubtif au unafanya makusudi (NISAMEHE):

Why? Ule waraka wa TEC siyo wa dini. Ni legal document on bandari contract with Dubai, from religious group guided by experienced lawyers ON CONTRACT LAW/INTERNATIONAL LAW ON CONTRACTS from the Catholic church, not CANON LAW!! There is no specific guide for the Catholic Interpretation of national law and the Islamic guide for the interpretation of national Law!
Mkuu umetema madini matupu, comment yako sasa ungeireply kwa faiza mbweha!

Sasa kuidump namna hii inakuwa kama ume refute mada ya mtoa hoja.
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Yesu wa Biblia sio Isa bin Mariam.

So no need ya kubishana.

Ila nakuachia mstari mmoja.

Amosi 4:12
[12]Basi nitakutenda hivi, Ee Israeli, na kwa sababu nitakutenda hivi, ujiweke tayari kuonana na Mungu wako, Ee Israeli.
Therefore thus will I do unto thee, O Israel: and because I will do this unto thee, prepare to meet thy God, O Israel.

PREPARE TO MEET YOUR GOD.
 
Wee mwehu kweli kwani ndani ya korani yenu kuna mahali pameandikwa Yesu? Acheni kujikomba kwa kukabambikizia hako kamtume kenu kuwa ndiye Yesu!
Yesu aliye tajwa katika Bible ndiye yesu aliye tajwa katika quran tukufu.Kama alivyo tajwa kwa majina tofauti kwa kila mataifa na lugha zao.
 
Wanabodi,

Huko nyuma niliwahi kutoa wito wa Political Tolerance kwa vyama na wanasiasa tunaotofautiana kwa kubishana bila kugombana au kutukanana!

Hili ni bandiko la kutoa wito wa religious Tolerance kwa imani za wengine hata kama hatuziamini.

Usikosoe jambo lolote la kiimani la imani isiyo yako. Mfano Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, watu pekee wenye haki ya kuukosoa waraka huo ni sisi waumini wa imani hiyo, na sio watu wa imani nyingine kutoa waraka kukosoa waraka wa imani nyingine.

Naomba kulipongeza Baraza la Waislamu Tanzania Bakwata kwa Political Tolerance, maana baada ya TEC kutoa waraka kupinga mkataba wa DPW na Bandari zetu, ilitarajiwa Bakwata nao wangetoa waraka kuunga mkono mkataba wa DPW na Bandari zetu hivyo kupelekea kuonyeshea ni watu wa dini fulani wanapinga mkataba huu kwasababu kiongozi fulani ni wa dini fulani na wengine wanaunga mkono kwasababu tuu ya dini fulani.

Issue ya DPW na Bandari zetu sio issue ya dini fulani ni purely economical issue of national interest kuhusiana na vipengele vya mkataba! Hakuna anayepinga uwekezaji wa Bandari.

Sambamba na ombi hili pia nawaomba wana JF waandamizi wenye ushawishi mkubwa humu kujiheshimu kwa kuheshimu imani za wengine mfano ni huyu.


Naunga mkono watu wasiharibu mada za watu kwenye majukwaa.

Kwa heshma na taadhima, Dada yangu, FaizaFoxy , I beg you please observe religious tolerance, mfano sisi tunaoamimi Yesu ni Mungu, akiibuka mtu wa imani nyingine akahubiri Yesu sii Mungu, ni kutokosea!

Wakristo tunaamini Bible ni kitabu cha Mungu, kitendo cha wewe mtu wa imani tofauti kusema huamini Bible ni kitabu cha Mungu, sio kututendea haki sisi waamini! Let's practice religious tolerance baina yetu kwa kuheshimu imani za wengine, hata kama wewe huziamini!. Nikiwa nchini India, nilitembelea hekalu moja wanaabudu panya. Japo ni kivutio cha Utalii lakini waheshimu!

Mkristo safi hawezi kusema chochote negative kuhusu Uislam, Qur'an Tukufu au Mtume Mohammed (SAW).

Paskali.
Kosoa tu, ilimuradi uwe na mantiki.

Ukisema mtu asikosoe kitu kisicho imani yake, halafu mimi nikasema imani yangu ni wizi na uuaji, utakaa kimya usinikosoe kwa sababu si imani yako?

Dini zenyewe zinakosoa watenda dhambi, sasa kama mtu kajiamulia imani yake ni kutenda dhambi utasema dini nazo zisimkosoe kwa sababu kutenda dhambi ni imani yake?
 
Elewa na sisi tunaamini Yesu siyo Mungu, ukiibuka na kusema Yesu Mungu, wakati hakuna ushahidi hata mmoja wa yeye mwenyewe kusema "mimi Mungu:, elewa kuwa unatukosea sana, kumpa mtume wetu uungu asiokuwa nao.

Biblia inahusishwa na Yesu ambae ni mtume kwaa Waislam, kwa hiyo mimi nnahaki ku "refute" mambo anayposingiziwa Mtume wa Kiislam, kumbuka hilo.

Hilo la India litabaki india, India wako hata wanaoabudu uume wa binaadam, siyo tatizo.

Kuhusu Yesu, elewa kuwa kila mnapomzushia kitu, Waislam hatutakaa kimya, anatuhusu sana tena sana.

Panya hawatuhusu ndee wala sikio, hatuna habari nao hata wewe ukiwaabudu.

"tolerance" unayoiongelea unataka iwe upande mmoja tu?

Yesu siyo Mungu na hakuna popote aliposema "Mimi mungu" au "niabuduni".

Biblia siyo kitabu cha Mungu, hata biblia yenyewe haijuwi kama inaitwa Biblia. Hotolikuta neno "biblia" ndani ya biblia, ni uzushi tu.
Yesu wa kwenye Biblia sio sawa sawa na Nabii Issa wa kwenye Quran ( ni watu wawili tofauti 100%)
 
Back
Top Bottom