Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,347
- 3,033
Kwa watanzania wapenda haki na wenye huruma mara nyingi tumewashuhudia wakiojitolea kizalendo kuwachangia baadhi ya watu katika harakati zao au matatizo yao mbalimbali kulingana na jinsi walivyoguswa ...
Binafsi naguswa sana harakati za kijana Abdul Nondo licha ya kupitia misusuko na changamoto mbalimbali lakini pia Bado ni mwanafunzi ambae ana ndoto za kumaliza masomo yake, na pengine anaota siku moja elimu yake itawanufaisha watu wanaomzunguruka kwa kiwango Cha harakati zake ...
Binafsi kwa kuwa naguswa na mchango wa kijana huyu katika harakati zake za kielimu banafsi nafikiri ingekua busara kama ingeanzishwa harambee kumchangia kijana huyu ili akamalizie Masomo yake nje ya nchi ...
Hili linapaswa kuangaliwa na kulifanyia kazi kutokana nabkuwa harakati zake zimegubikwa na hila za utawala wa Awamu ya 5 na hivyo ni rahisi kupeperusha ndoto zake kwa hila na figisufigisu kadhaa kupitia vibaraka wa mtawala ...
Kwa hiyo basi kupitia andiko hili ningeomba mtu yeyote mwenye jukwaa lenye wafuatiliaji wa kutosha ufanyike utaratibu wa mawasiliano kwa wanajamii na muhusika ili zoezi lianze haraka iwezekanavyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi naguswa sana harakati za kijana Abdul Nondo licha ya kupitia misusuko na changamoto mbalimbali lakini pia Bado ni mwanafunzi ambae ana ndoto za kumaliza masomo yake, na pengine anaota siku moja elimu yake itawanufaisha watu wanaomzunguruka kwa kiwango Cha harakati zake ...
Binafsi kwa kuwa naguswa na mchango wa kijana huyu katika harakati zake za kielimu banafsi nafikiri ingekua busara kama ingeanzishwa harambee kumchangia kijana huyu ili akamalizie Masomo yake nje ya nchi ...
Hili linapaswa kuangaliwa na kulifanyia kazi kutokana nabkuwa harakati zake zimegubikwa na hila za utawala wa Awamu ya 5 na hivyo ni rahisi kupeperusha ndoto zake kwa hila na figisufigisu kadhaa kupitia vibaraka wa mtawala ...
Kwa hiyo basi kupitia andiko hili ningeomba mtu yeyote mwenye jukwaa lenye wafuatiliaji wa kutosha ufanyike utaratibu wa mawasiliano kwa wanajamii na muhusika ili zoezi lianze haraka iwezekanavyo
Sent using Jamii Forums mobile app