Kumbe welfare ya wanyama ni bora kuliko binaadamu.
TAZARA imepita Selous na Mikumi mpaka leo wanyama wapo!
Ilo la Vyura uko malagalasi limenichosha mbona Kihansi kuna vyura na kuna bwawa.
Issue sio kuacha mradi bali go for both plans to proceed with the project and conserve the environment.KIHANSI tumeweza uko why tushindwe
Kuna umuhimu hiyo barabara kujengwa , utanyanyua uchumi sana kwa watu wa kanda hiyo sana . Ila wakenya wanawachezea wa tz kama watoto wao . Sijui tiss wapo wapi ? Lowassa angekuwepo huu ujinga usingekuwepo.
Kama issue ni wanyama kufa tuweke barabara then tuangalie tufanyeje magari yawe yanaenda kwa mwendo wa kawaida yafikapo hayo maeneo. La sivyo sisi tutabaki ***** mtozeni
Mikataba yote ya mazingira inazibana nchi changa ili zisiweze kupiga hatua ya maendeleko. Kuna ule mkataba maarufu wa Kyoto ambao unataka mataifa makubwa yenye viwanda yapunguze emission ya carbon dioxide inayoongeza joto ili kuhifadhi leya ya ozone. Amerika (USA) ambaye ndiye nchi yenye viwanda vingi duniani ilikataa kusaini mkataba wa Kyoto.
Kama leo tunajadili existence ya wanyama na tunataka tu equate na wanadamu kwa vijisababu vya environmental impact.
Nnzi. Naanza kuhisi kuwa mchangiaji hoja anayeitwa Nzi, ni miongoni mwa Watanzania ambao ni mawakala wa Kenya ambao kila uchao wanabwata kuhusu maendeleo ya Tanzania
Mkuu hakuna cha uwakala.
Weka siasa pembeni, ili tujadili kitaalamu na kiweledi.
Mbona hawawaambii wachina wasijenge?
Mbona ulaya ma fly over yamejengwa na maroute 69?
sisi tukitishwa na enjioo za ajabu ajabu tunafyata mkia
Mkuu hapo sio kweli. Kama ungejua madhara wanayopata wanyama wa Mikumi kutokana na uwepo wa hiyo barabara,husingeandika hayo juu. Wanyama wengi wanakufa sana kutokana na uwepo wa barabara hiyo na kutokana na raia kutozingatia sheria na alama za kwenye kipande cha barabara kinachopita kwenye hifadhi.
Kwenye suala la wanyama kuzoea au kuadapt mazingira fulani,ni kweli. Ila kumbuka wao pia wana tolerance limit ambayo ikipitwa ndiyo mambo ya extinction au kuwekwa katika Species Red List ya IUCN. Kumbuka wanyama wengi duniani wametoweka baada ya tolerance limits zao kupitwa kwa kiasi kikubwa. Mfano maarufu ni Dinosaurs.
Hapa simaanishi kuwatetea wanyama na kuwasahau wanadamu,la hasha. Ninachokitetea na uwepo wa win-win situation kwa sisi wanadamu na kwa wanyamapori. Kwani kila upande unategemea upande mwingine kwa kiwango kikubwa. Wanyamapori wanatupa mapato na aesthetic values. Nao wanatutegemea sisi kwa survival yao kwa njia ya kuwatunya na kuwajali.
Hivyo ni vyema kufikiria pande zote.
Mkuu sijaongea siasa ila wewe ndiyo uko kwenye siasa. Mimi nimeangalia uhalisia in a broad spectrum na kujiuliza je ingekuwa Tanzania ni Japan, UK au USA na inataka kupitisha barabara kwenye mbuga zake, je nani angefungua mdomo wake kuuliza.
Nyie akina NZI nawaona more or less ni vibaraka wa serikali ya Kenya ambao munatumika kwa viji pesa kidogo munavyopewa kwenye NGO zenu. Bahati mbaya mumekosa ajira ya serikali kutokana na ufinyu wa ajira kwa hiyo mumeamua kuwa malaya wa akili zenu. Muko tayari kutumia akili zenu dhidi ya mambo halisi ili kuwaridhisha mabwana zenu wa Kenya.
Kenya wanajenga Airport karibu na Mlima Kilimanjaro upande wao, Kenya wana hoteli zaidi ya 20 za nyota tano kwenye mbuga ya Masai Mara lakini hamna anayeona environmental abuse upande wao. Lakini Tanzania ilipojenga Bilila Lodge Kempiski tukaambiwa tume disturb eco system ya wanyama.
Juzi wamezindua ujenzi wa bandari ya Matrillion ya Shillingi kwenye ukanda wa Lamu ili kuweza kuvuta biashara ya mizigo toka Ethiopia na South Sudan. Wenzetu wanaangalia miaka 100 mbele wakati sisi unarudi nyuma miaka 10.
kuna faid ana hasara ya kila kitu...............hatuwezi kuwa kwenye lindi la umasikini kwa kuchelea kitu ambacho kwa faida yetu ama yetu si sawa na gharama yake kwetu
Mkuu hapo sio kweli. Kama ungejua madhara wanayopata wanyama wa Mikumi kutokana na uwepo wa hiyo barabara,husingeandika hayo juu. Wanyama wengi wanakufa sana kutokana na uwepo wa barabara hiyo na kutokana na raia kutozingatia sheria na alama za kwenye kipande cha barabara kinachopita kwenye hifadhi.
Kwenye suala la wanyama kuzoea au kuadapt mazingira fulani,ni kweli. Ila kumbuka wao pia wana tolerance limit ambayo ikipitwa ndiyo mambo ya extinction au kuwekwa katika Species Red List ya IUCN. Kumbuka wanyama wengi duniani wametoweka baada ya tolerance limits zao kupitwa kwa kiasi kikubwa. Mfano maarufu ni Dinosaurs.
Hapa simaanishi kuwatetea wanyama na kuwasahau wanadamu,la hasha. Ninachokitetea na uwepo wa win-win situation kwa sisi wanadamu na kwa wanyamapori. Kwani kila upande unategemea upande mwingine kwa kiwango kikubwa. Wanyamapori wanatupa mapato na aesthetic values. Nao wanatutegemea sisi kwa survival yao kwa njia ya kuwatunya na kuwajali.
Hivyo ni vyema kufikiria pande zote.