wale wanamazingira wa Wakenya waliongoza kupinga tusijenge barabara ya serengeti na cha ajabu serikali yetu ikafyta mkia
leo wamezindua mradi wa bandari mpya ya lami wenye madhara makubwa zaidi kule Lamu na barabara kuelekea Ethiopia na Sudan.
Inasemakana \ni mradi mkubwa kuliko yote Africa na hakuna alitetia neno juu ya mazingira
pia wameamua kujenga Airport karibu na mlima kilimanjaro upande wa Kenya ili waiue kabisaa airport ya KIA
Sasa cha kujiuliza wale wazalendo wanaopenda maendeleo ya WaTanzania wako wapi?
Nashauri:
JK fanya maamuzi kama kiongozi wa China Wen Jianbao na idhinisha not only barabara bali option ya high speed rail huko serengeti.
Kama kuna mtu hapendi ahame nchi akaishi Kenya
leo wamezindua mradi wa bandari mpya ya lami wenye madhara makubwa zaidi kule Lamu na barabara kuelekea Ethiopia na Sudan.
Inasemakana \ni mradi mkubwa kuliko yote Africa na hakuna alitetia neno juu ya mazingira
pia wameamua kujenga Airport karibu na mlima kilimanjaro upande wa Kenya ili waiue kabisaa airport ya KIA
Sasa cha kujiuliza wale wazalendo wanaopenda maendeleo ya WaTanzania wako wapi?
Nashauri:
JK fanya maamuzi kama kiongozi wa China Wen Jianbao na idhinisha not only barabara bali option ya high speed rail huko serengeti.
Kama kuna mtu hapendi ahame nchi akaishi Kenya